Ahsante ndugu kwa comment yako hii.Mkuu wanawake tuwaheshim sana, mm niliharibu sana, niliishi ughaibuni nikija likizo naishia kumuita Malaya aje airport, nakula Bata hotelini nyumbani kwangu wiki iishe ndio nakwenda. That was my first chance, sikufanikiwa kujenga mapema, gari sikuwa nayo wala mradi wa maana, pombe na malaya ndio yalikuwa maisha. Shukuru una radhi za wazaz na labda ndio maana Mungu akakupa zawad ya mke. Kuna wenzio hawataman kurudi nyumbani,wake zao moto
Bora wewe ulikosea mapema, watu run 34 watoto wadogo
Aendelea na biashara zako, kazi usiache viendeshe kwa pamoja. Ni ushauri tu
DuuuhIt is never too late to start over especially when you realize you are in the wrong path. Hongera umeshtuka at age 32. Wengine wapo at 58 ila hawajashtuka bado
Mkeo anajua makosa ya kufuja pesaDuuuh
Hapana mzee, lakini kipindi naanza kuishi nae alihisi kuna kitu namficha ama pesa namalizia kwa michepuko maana maendeleo niliyokuwa nayo yalikuwa hayaendani kabisa na wenzangu na ofisi ninayofanyia kaziMkeo anajua makosa ya kufuja pesa
Duuuh pole mkuu, hiyo hali ni Kama unga kuiacha sio rahisiUmetuponya wengi kaka. Huyu ni mim kabsaa
Kw nini boss?Naandika yalafu nafuta
Sijui ni kwa nini
Mkuu vipi tena, nini mbaya hukoKuna vijana hapa wanakunywa meza jirani yangu na wanawake kama woote halafu nawajua vizuri ni hatari kwa future yao
Walimuuuuuuuuu mnakwama wapiii
Mtoa mada ni dawa kwa wengi
Ningeomba kama kuna mtu anaujua vizuri mfumo wa mikopo aanzishe uzi kuokoa hiki kizazi jamani
nimekuongeza kwenye watu wangu wa muhimu saaana maishani mwangu kutoka humu Jf aseeeMkuu vipi tena, nini mbaya huko
Ahaaaaaaaa umenikumbusha kuna ticha mmoja rafiki yangu damu amechongoka kama moja,yeye huwa habadilishi nguo anaweza vaa nguo moja hata wiki tatu bila kubadilisha hadi namuhurumiaHili bandiko lako naomba walimu, mahakimu, polisi na watu wa afya wangeliona kwa kuwasaidia kama una rafiki ama ndugu kutoka katika sekta hizi umtag jamani.
Hapa niko baa na ka mwalimu fulani mpaka huruma kwa future yake asee
Hpo tuko pamoja, mkuu.mkuu kusanuka kwenye huo mtego ni kugumu sana, hata mimi sio kwamba nimeacha ila nimepunguza sana yaani kimada hawezi kunipelekesha kwa sasa ila kuacha mzee ni vigumu sana Papuchi kwa mwanaume aliyekamilika lazma ale mkuu π π
Karibu sana bossMkuu
nimekuongeza kwenye watu wangu wa muhimu saaana maishani mwangu kutoka humu Jf aseee
Boss nini mbaya tena?Uzi kama huu unanikumbusha mengi,
let me pass smoothly,