Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Mkuu wanawake tuwaheshim sana, mm niliharibu sana, niliishi ughaibuni nikija likizo naishia kumuita Malaya aje airport, nakula Bata hotelini nyumbani kwangu wiki iishe ndio nakwenda. That was my first chance, sikufanikiwa kujenga mapema, gari sikuwa nayo wala mradi wa maana, pombe na malaya ndio yalikuwa maisha. Shukuru una radhi za wazaz na labda ndio maana Mungu akakupa zawad ya mke. Kuna wenzio hawataman kurudi nyumbani,wake zao moto

Bora wewe ulikosea mapema, watu run 34 watoto wadogo

Aendelea na biashara zako, kazi usiache viendeshe kwa pamoja. Ni ushauri tu
Ahsante ndugu kwa comment yako hii.
Hakika ushauri wako ni mzuri sana
 
Naomba mods ikiwezekana huu uzi muuweke pale juu kabisa baada ya hilo tangazo la korona huenda ukachangia kwa kiasi kikubwa sana vijana kubadilika na kujikwamua. Ukichoka kusoma shuhuda hapa ambazo ukaona hazikusaidii wewe ni wakupuuzwa na hovyo kabisa.
 
Kuna vijana hapa wanakunywa meza jirani yangu na wanawake kama woote halafu nawajua vizuri ni hatari kwa future yao



Walimuuuuuuuuu mnakwama wapiii

Mtoa mada ni dawa kwa wengi

Ningeomba kama kuna mtu anaujua vizuri mfumo wa mikopo aanzishe uzi kuokoa hiki kizazi jamani
Mkuu vipi tena, nini mbaya huko
 
Hili bandiko lako naomba walimu, mahakimu, polisi na watu wa afya wangeliona kwa kuwasaidia kama una rafiki ama ndugu kutoka katika sekta hizi umtag jamani.

Hapa niko baa na ka mwalimu fulani mpaka huruma kwa future yake asee
Ahaaaaaaaa umenikumbusha kuna ticha mmoja rafiki yangu damu amechongoka kama moja,yeye huwa habadilishi nguo anaweza vaa nguo moja hata wiki tatu bila kubadilisha hadi namuhurumia
 
Back
Top Bottom