Miaka 25 - 35 ndio umri mgumu zaidi kwa vijana wahitimu wa degree, Presha ya kupata mafanikio au kuwa mtu wa level fulani inakuwa ni kubwa mno

Miaka 25 - 35 ndio umri mgumu zaidi kwa vijana wahitimu wa degree, Presha ya kupata mafanikio au kuwa mtu wa level fulani inakuwa ni kubwa mno

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
1740840305863.png


Wahitimu wa degree wanaopitia changamoto za kiuchumi hupata msongo wa mawazo kwa sababu jamii huwa na matarajio makubwa kwao. Jamii huamini wanapaswa kuwa wajanja zaidi kwenye fursa hata wasipopata ajira. jamii huwashusha thamani na hata kuwatania vijana hawa inapoona kuna vijana wenye elimu ya chini wana mafanikio darasa la saba, form 4, au diploma, ni jambo linaloleta stress sana kwa wahitimu.

Baadhi ya marafiki zake ambao alisoma nao wanamiliki nyumba , magari, wameoa na wana watoto ambao wanawasomesha shule za maana.

akijiangalia kila dili analofuatilia halijatiki, CV amepeleka sehem nyingi lakini kwingine hata majibu hawampi kwamba amepata au amekosa

idadi ya marafiki zake inaanza kupungua. Hawajamtenga, ila anaona bora ajitenge asijipe stress na mada zao za raha wakat yeye hana hata mia.
 
Maisha wanasema hayana formula. Lakini kwa silimia zaidi ya 70 naweza kusema elimu ya Tanzania haisaidii kijana kukabiliana na changamoto za maisha. Sana sana ndio inamfanya awe muoga na kutojiamini.
vijana wengi wanasomea taaluma kwa matarajio ya kuja kuajiriwa lakini ajira ni chache

Nyumbani hakuna mitaji, wamesoma kwa mkopo.
 
Na life expectancy ya Mtanzania ni miaka 66 kwa hiyo hapo unakuwa umeshamaliza nusu ya maisha yako kwa kuteseka na kuna uwezekano hiyo nusu nyingine ukateseka zaidi maana hata nguvu za kushinda njaa huku unafanya kazi kama ukuli, bodaboda , saidia fundi zinaanza kupungua
 
Na life expectancy ya Mtanzania ni miaka 66 kwa hiyo hapo unakuwa umeshamaliza nusu ya maisha yako kwa kuteseka na kuna uwezekano hiyo nusu nyingine ukateseka zaidi maana hata nguvu za kushinda njaa huku unafanya kazi kama ukuli, bodaboda , saidia fundi zinaanza kupungua
Acha ujinga asi 😝mimi Nina miaka 15 kwahyo nimebakiza miaka 45
 
View attachment 3254828

Wahitimu wa degree wanaopitia changamoto za kiuchumi hupata msongo wa mawazo kwa sababu jamii huwa na matarajio makubwa kwao. Jamii huamini wanapaswa kuwa wajanja zaidi kwenye fursa hata wasipopata ajira. jamii huwashusha thamani na hata kuwatania vijana hawa inapoona kuna vijana wenye elimu ya chini wana mafanikio darasa la saba, form 4, au diploma, ni jambo linaloleta stress sana kwa wahitimu.

Presha ni kubwa sana kwa wahitimu wa degree ambao ramani bado hazisomeki, mbaya zaidi matarajio ya jamii huwa ni kijana mwenye degree inabidi awe mjanja zaidi ni kituko kumuona kwenye hali mbaya kiuchumi wakati kuna wenzake walioishia la saba, form 4, dip, wapo wameshajipata

Baadhi ya marafiki zako ambao alisoma nao wanamiliki nyumba , magari, wameoa na wana watoto ambao wanawasomesha shule za maana.

akijiangalia kila dili analofuatilia halijatiki, CV amepeleka sehem nyingi lakini kwingine hata majibu hawampi kwamba amepata au amekosa

idadi ya marafiki zake inaanza kupungua. Hawajamtenga, ila anaona bora ajitenge asijipe stress na mada zao za raha wakat yeye hana hata mia.
Na vijana wengi wanakufa kwa stress na wengine wanaishi kwa stress.

Tatizo kubwa ni vijana kuwa materialistic.
 
Maisha kama vidole 🤔cha ajabu darasa la saba wenye fedha nyingi nao wanawapeleka shule za gharama watoto wao ili wasome pia degree tulizosoma sisi
Wadarasa la saba wengi mafanikio yao ni ya ujanja ujanja, ndumba, ujangili na masharti kibao... Hawapo tayari kuona watoto wao wanapita walikopita wao
 
Back
Top Bottom