BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
mi nataka mimba, utanipa??Mimi Jobless nipe mchongo basi halafu nikuwowe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi nataka mimba, utanipa??Mimi Jobless nipe mchongo basi halafu nikuwowe
Nakupinga, kuna darasa la saba wengi tu wana biashara zao halali kabisa kuanzia kilimo, bajaji, maduka, n.k. ishu ni ku scale up, kama duka moja linaingiza faida elf 50 kila siku unaweza kuwa na maduka matatu, manne, hadi kumi.Wadarasa la saba wengi mafanikio yao ni ya ujanja ujanja, ndumba, ujangili na masharti kibao... Hawapo tayari kuona watoto wao wanapita walikopita wao
Hii sasa inaitwa mbwa kala mbwa.dah maisha haya 😂😂Maisha kama vidole 🤔cha ajabu darasa la saba wenye fedha nyingi nao wanawapeleka shule za gharama watoto wao ili wasome pia degree tulizosoma sisi
Nyau de adriz kwenye wan en tuuz🤣🤣🤣Mimi Jobless nipe mchongo basi halafu nikuwowe
Plus umafia mafia. Nimekaa maeneo ya border. Nimeshuhudia hiliWadarasa la saba wengi mafanikio yao ni ya ujanja ujanja, ndumba, ujangili na masharti kibao... Hawapo tayari kuona watoto wao wanapita walikopita wao
Nyangwisi The Mongolian Savage limeshakula ban baridiNyau de adriz kwenye wan en tuuz🤣🤣🤣
Kwanini nawewe usitumie huo ujanja ujanja japo ni kweli mwanangu una point🤔mimi pia nimeshuhudiaPlus umafia mafia. Nimekaa maeneo ya border. Nimeshuhudia hili
Maisha wanasema hayana formula. Lakini kwa silimia zaidi ya 70 naweza kusema elimu ya Tanzania haisaidii kijana kukabiliana na changamoto za maisha. Sana sana ndio inamfanya awe muoga na kutojiamini.
Hii Tanzania bila ujanja ujanja utaishi tu kama mwalimuNakupinga, kuna darasa la saba wengi tu wana biashara zao halali kabisa kuanzia kilimo, bajaji, maduka, n.k. ishu ni ku scale up, kama duka moja linaingiza faida elf 50 kila siku unaweza kuwa na maduka matatu, manne, hadi kumi.
waarabu wengi wameishia darasa la saba wanapiga mishe hakuna maswali ila mbongo akiishia la saba tayari zinaanza story ni jangili.
Sikatai darasa la saba wapo wanaopiga mishe za kijanja ila hata degree wapo wengi tu wanapiga hizo mishe, fuatilia story ya Patrick Ngowi.
Hujui usemalo babu nimesoma kayumba msingi, ordinary seco nimesoma private, A-level kayumba mbona Sina ajira hapaAsilimia kubwa ya jobless ni products za st kayumba
Sio kweliAsilimia kubwa ya jobless ni products za st kayumba
Ukitaka ya chapu mcheki Nyabumbu The Mongolian Savagemi nataka mimba, utanipa??