papason
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 5,119
- 5,698
Usi ogope vita, bunduki na risasi tunavyo ni suala la kuchagua tuna muunga mkono naniMkuu...vikianza hakuna maisha ya uhakika tena, vifo vitakuwa vya kupokezana...Bahati nzuri havitatokeašš¤²
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usi ogope vita, bunduki na risasi tunavyo ni suala la kuchagua tuna muunga mkono naniMkuu...vikianza hakuna maisha ya uhakika tena, vifo vitakuwa vya kupokezana...Bahati nzuri havitatokeašš¤²
Viongozi wetu wa ccm badala wakae na kuwaza kuleta ufumbuzi wa matatizo ktk Taifa letu wao wanawaza uchaguzi tuI mean, nani anajua Dunia utakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?
Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, ā¦
WWIII hakuna bunduki mkuu....ni madude madude tu.Usi ogope vita, bunduki na risasi tunavyo ni suala la kuchagua tuna muunga mkono nani
Umeandika kwa akili za kipumbav kama litotoMwenzake Mwendazake John P. Magufuli alipojishindisha tu uchaguzi mkuu mwaka 2020, akaanza "muvu" za chini chini na waziwazi kwa kuwatumia wapambe wake ili abadili katiba apate kutawala mpaka kifo chake
Haimkuchukua hata miezi minne tangu aongoze kufanya UCHAFUZI WA MWAKA 2020 ulioitwa "uchaguzi mkuu", na kuwa na mawazo ya "milele", huyu "Ngosha" akafa kifo cha kawaida!!
Huyu naye naona anajifanya anaijua kesho yake.
Katika mazingira ya Tanzania ya leo, kiongozi wa CCM kudhani kuwa anaweza kuwa ktk madaraka ya serikali kwa angalau hata miezi 6 tu ijayo, ni kujilisha upepo wa mchana kweupe
Mama SSH na wenzake hawajui na hata hawaelewi kuwa maisha ya madaraka yao ya kiserikali ni very short and countable!
I mean, nani anajua Dunia utakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?
Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, ā¦
pigo?,yaani kufa ni pigo?,are you mad?[emoji44]Kumshinda tena vipi wakati alishapata pigo kwa kiburi chake? Wee unadhani kuua binadamu wenzako huku ukijifanya kusimama madhabahuni kila siku eti wewe ni mcha Mungu ni kitu chema? Mungu hadanganyiki!
tulikua tunawambia,katiba sio leo,,ni baada ya 2025,,,haiwezekani Rais ana mwaka mmoja TU eti aanze kubadili katiba,,kama mlifikiri mtapewa katiba mwakani ili sijui mshinde 2025,,,mkajipange,,,,katiba hata ipatikane kesho,,itachukua at least 3 years kuanza kutumikaViongozi wetu wa ccm badala wakae na kuwaza kuleta ufumbuzi wa matatizo ktk Taifa letu wao wanawaza uchaguzi tu
We need a proces to start. We naye mawazo ya kiccm tu.tulikua tunawambia,katiba sio leo,,ni baada ya 2025,,,haiwezekani Rais ana mwaka mmoja TU eti aanze kubadili katiba,,kama mlifikiri mtapewa katiba mwakani ili sijui mshinde 2025,,,mkajipange,,,,katiba hata ipatikane kesho,,itachukua at least 3 years kuanza kutumika
Atakaa tu huyu sio yule aliyesema atakaa infinite akatwaiwaI mean, nani anajua Dunia utakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?
Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, ā¦
Sisi tuataka katiba mpya bora uchaguzi uchelewe mama anakwenda kuweka historia,kama mlizoea mavyeo ya damu na dhuluma mtaji uchawa ekwishatulikua tunawambia,katiba sio leo,,ni baada ya 2025,,,haiwezekani Rais ana mwaka mmoja TU eti aanze kubadili katiba,,kama mlifikiri mtapewa katiba mwakani ili sijui mshinde 2025,,,mkajipange,,,,katiba hata ipatikane kesho,,itachukua at least 3 years kuanza kutumika
Huna akiliMwenzake Mwendazake John P. Magufuli alipojishindisha tu uchaguzi mkuu mwaka 2020, akaanza "muvu" za chini chini na waziwazi kwa kuwatumia wapambe wake ili abadili katiba apate kutawala mpaka kifo chake
Haimkuchukua hata miezi minne tangu aongoze kufanya UCHAFUZI WA MWAKA 2020 ulioitwa "uchaguzi mkuu", na kuwa na mawazo ya "milele", huyu "Ngosha" akafa kifo cha kawaida!!
Huyu naye naona anajifanya anaijua kesho yake.
Katika mazingira ya Tanzania ya leo, kiongozi wa CCM kudhani kuwa anaweza kuwa ktk madaraka ya serikali kwa angalau hata miezi 6 tu ijayo, ni kujilisha upepo wa mchana kweupe
Mama SSH na wenzake hawajui na hata hawaelewi kuwa maisha ya madaraka yao ya kiserikali ni very short and countable!
Hapendi mungu wake atolewe kama mfano wa mtu mjinga.Kumshinda tena vipi wakati alishapata pigo kwa kiburi chake? Wee unadhani kuua binadamu wenzako huku ukijifanya kusimama madhabahuni kila siku eti wewe ni mcha Mungu ni kitu chema? Mungu hadanganyiki!
Kama yule mwingine waliyekuwa wakimwambia atawale milele.I mean, nani anajua Dunia utakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?
Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, ā¦
Swali la ki mitego.John mallya: Kama gari la RPC linasiti 5 na ninyi mnasema mlikuwa 6 mweleze mheshimiwa Jaji je? afande kingai alimkalia nani?
Shahidi: Sijui
Halafu akaanza kuwadharau wazee wasiotaka kustaafu.Kama yule mwingine waliyekuwa wakimwambia atawale milele.
We need a proces to start. We naye mawazo ya kiccm tu. Katiba mpya itakuja na mageuzi ktk utawala bora, haki na maendeleo. We unawaza madaraka tu.
Changamoto ya viongozi wa kiafrika, wanajionaga kama manabii, mtu anajinasibu kuwepo miaka 9, kama yeye Mungu vile anayeijua kesho, inasikitisha!