Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Even if the world would end tomorrow; I can still plant a tree today. Yaani wewe unaweka into consideration the negatives only while eliminating the postives? You would better take into consideration of both. Kama wewe uko sahihi, basi na yeye pia yuko sahihi. However, wewe unaweza ukawa uko wrong, lakini still yeye atakuwa bado yuko right. Negativity yako usiilazimishe i-apply na kwa wengine ambao ni positive thinkres
kuwa kiongozi bata sana , unawrza hisi hutakufaI mean, nani anajua Dunia itakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?
Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, …
Kumbe wewe Ndiye unaetoa hiyo Katiba.tulikua tunawambia,katiba sio leo,,ni baada ya 2025,,,haiwezekani Rais ana mwaka mmoja TU eti aanze kubadili katiba,,kama mlifikiri mtapewa katiba mwakani ili sijui mshinde 2025,,,mkajipange,,,,katiba hata ipatikane kesho,,itachukua at least 3 years kuanza kutumika
Ni kwa sababu anaamini kuwa bado kutakuwa na Rais, na bado Tanzania itaendelea kuwepo, hata kama Rais atakuwa siyo yeye.Unaandika vitu viwili tofauti, kuna tofauti kati ya kutimiza wajibu wako kujaribu kuiacha Dunia ikiwa bora kuliko ulivyoikuta na kusema na kuamini kabisa kwamba utakuwa (bado) ni raisi wa nchi kwa miaka 9 ijayo, hiyo ya pili narcissism ni mental illness, narcissistic ndiyo wenye tabia ya kufikiri kwamba wanaweza kui- model Dunia watakavyo wao, kumbe hawajui kwamba Dunia iko jinsi ilivyo, na binadamu ndiye anayepaswa kufwata Dunia (nature) itakavyo na siyo kinyume chake, kuna sababu kwa nini Waswahili tuna msemo wa hakuna aijuaye kesho yake na nafikiri karibia kila culture Dunia hii ina huo msemo kwa namna moja au nyingine.
kama sio pigo, kwanini vitabu vitakatifu vinasema mwisho wa dhambi ni mauti?Kwani kifo ni pigo ? Na kama ni pigo ni kwa yupi aliyekufa aliowaacha hai ?
Nani sasa atampigia hiyo kura bi mikopo?Changamoto ya viongozi wa kiafrika, wanajionaga kama manabii, mtu anajinasibu kuwepo miaka 9, kama yeye Mungu vile anayeijua kesho, inasikitisha!
Wote.Bado haujibu, ni pigo kwa nani? Aliyefariki au waliobakia ?
Sema Mwamba ametimiza ndoto yake ya kutawala hadi kufa!!Mwenzake Mwendazake John P. Magufuli alipojishindisha tu uchaguzi mkuu mwaka 2020, akaanza "muvu" za chini chini na waziwazi kwa kuwatumia wapambe wake ili abadili katiba apate kutawala mpaka kifo chake
Haimkuchukua hata miezi minne tangu aongoze kufanya UCHAFUZI WA MWAKA 2020 ulioitwa "uchaguzi mkuu", na kuwa na mawazo ya "milele", huyu "Ngosha" akafa kifo cha kawaida!!
Huyu naye naona anajifanya anaijua kesho yake.
Katika mazingira ya Tanzania ya leo, kiongozi wa CCM kudhani kuwa anaweza kuwa ktk madaraka ya serikali kwa angalau hata miezi 6 tu ijayo, ni kujilisha upepo wa mchana kweupe
Mama SSH na wenzake hawajui na hata hawaelewi kuwa maisha ya madaraka yao ya kiserikali ni very short and countable!
this time africa hatuusiki manake juzi walikua wanasema tuchague upande tukasema hatufungamani na mtu yoyote ha ha ha ha ha acha watifuane wenyeweMkuu...vikianza hakuna maisha ya uhakika tena, vifo vitakuwa vya kupokezana...Bahati nzuri havitatokea🙏🤲
Kweli ila likija swala la nyuklia hakuna Afrika wala Ulaya..this time africa hatuusiki manake juzi walikua wanasema tuchague upande tukasema hatufungamani na mtu yoyote ha ha ha ha ha acha watifuane wenyewe
nyuklia si inapigwa kule kule tu mkuu hata japan ilipigwa miji miwili tuKweli ila likija swala la nyuklia hakuna Afrika wala Ulaya..
Kuna tofauti ya nyuklia ya wakati ule na sasa:nyuklia si inapigwa kule kule tu mkuu hata japan ilipigwa miji miwili tu