Miaka 3 ijayo Dunia ni tofauti kabisa, Rais anaongelea kuongoza miaka 9 ijayo leo hii?

Miaka 3 ijayo Dunia ni tofauti kabisa, Rais anaongelea kuongoza miaka 9 ijayo leo hii?

I mean, nani anajua Dunia utakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?

Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, …
Ni maneno yaliyosemwa mbele ya wanasiasa fulani ili kuwafikishia ujumbe wapinzani wake. Wanaodhani kwa kelele zao za kila siku wanaweza kumtoa ikulu.

Ni mjanja anayekula sahani moja na wote wenye nia ambazo pengine ni za siri za kutaka kuingia ikulu, kina Pole Pole wanao wafuasi wengi nyuma yao na wamepewa ubalozi ili wapunguzwe ushawishi wao ndani ya siasa za Tanzania.

Sio vibaya kuwa na nia za urais na kama mtu mmoja haridhiki nae wapo mabilioni huko vijijini wanaojengewa shule za kisasa na zenyewe ni muendelezo wa kampeni, kuna miradi mikubwa ya maji inagusa maisha ya mamilioni ya wapiga kura.

Sisi wapiga kelele wa nyuma ya keyboard ujanja wetu ni humu humu mijini, kuna maisha ya huko vijijini na hao ndio wapiga kura wenyewe.
 
I mean, nani anajua Dunia utakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?

Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, …
Aendelee hivyo hivyo avune apandacho anaupiga mwingi kwa hio aendelee kushambulia sana, politically provocative ili kuwaamsha kunguni na kuwazima mapema tusubiri siafu walio safarini kama wapo
 
Shida yako unaendelea kushinda a na Marehemu, ni bahati mbaya mmeshindwa kumshinda.Hhahahahah failed political party
Tumeshamshinda huyo. Hayupo, ameshakufa

Kwa sasa tunashughulika na footprints (historia) mbaya aliyoiacha tokana na matendo yake mabaya

Tunatumia footprints zake kuwaonya nyie wenye tabia na matendo kama yake mnaodhani mko salama. Acheni, mtakufa kama baba yenu!
 
I mean, nani anajua Dunia itakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?

Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, …
Ohoo tayari wanaJF kama mabundi vile.
 
I mean, nani anajua Dunia itakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?

Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, …
Even if the world would end tomorrow; I can still plant a tree today.

Yaani wewe unaweka into consideration the negatives only while eliminating the postives?

You would better take into consideration of both. Kama wewe uko sahihi, basi na yeye pia yuko sahihi.

However, wewe unaweza ukawa uko wrong, lakini still yeye atakuwa bado yuko right.

Negativity yako usiilazimishe i-apply na kwa wengine ambao ni positive thinkres
 
Jiwe ni Mbizi kafia kwa Muuza Supu iyo ilitokea tu ila akuna mti alumuombea wala akuna Chama kilisababisha yeye kufa alkufa kwa mttzo na Afya yake

Atumpendi jiwe ila ukwel ni kua akuna Mtanzania aliechangua wala kusababisha kifo chake tuache kujisifia na sifa za kijinga

Kifo hutokea kwa Mung binadamu huwez toa wala kuleta kifo
 
I mean, nani anajua Dunia itakuwaje miaka 2 ijayo, USA might have conservative right wing Christian leader, EU watakuwa na priority nyingine hatujui ugomvi na Urusi utaiacha EU na western world katika hali gani, hivyo wanaokupa support leo hii miaka 2-3 ijayo watakuwa na watu wengine kabisa na priority nyingine, corona pandemic haitokuwepo au angalau siyo kwa namna ilivyo leo hii, Uhuru Kenyata atakuwa hayupo, some people will be dead or too ill, halafu Kiongozi anaongelea kuwepo madarakani miaka 9 ijayo kwenye nchi yenye majeraha na visasi kama hii yetu ?

Kwa maoni yangu miaka 9 ni mingi sana, kwanza miaka 3 ijayo itakuwa migumu sana, …
Ngoja waje watabiri watufungulie yajayo. Mimi simo.
 
Ukishakuwa na wenge ni shida, kesho huwa ni fumbo kwa maisha ya binadamu.........tufanye kilicho ndani ya uwezo na mamlaka yetu kwa ajili ya utumishi kwa wengine leo hii na siyo kesho.
 
John mallya: Kama gari la RPC linasiti 5 na ninyi mnasema mlikuwa 6 mweleze mheshimiwa Jaji je? afande kingai alimkalia nani?
Shahidi: Sijui
[emoji23][emoji23] daah nimemisi sana hizi burudani sijui kwann jf haijafanya kitu special kuhusu kuturahisishia kujikumbusha
 
John mallya: Kama gari la RPC linasiti 5 na ninyi mnasema mlikuwa 6 mweleze mheshimiwa Jaji je? afande kingai alimkalia nani?
Shahidi: Sijui
Lc v8 ina siti 2 nyuma za kukunjua.

Jibu sijui lilikuwa sahihi kabisa.
 
tunafanyaje sasa mkuu,,na ndio ameshasema
 
Back
Top Bottom