Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Upepo ushakata Ambiere apo subiri kusaidiwa na Bodaboda
 
Mkuu najua utasema ni utani ila hii mbinu utanishukuru badae kwa mda wako..
Na hata kama utakua na chochote kitu utanitumia tuu sina baya..

Nunua cologate ile dawa ya meno.
Kila asbhi paka na unapolala paka
Ndani ya week case itakua closed....
Apake wapi kwenye kiwiliwili au Kichwa?
 
Huyu jamaa atakayekuoa atakufa mapema sana
Mkuu, huyu hajui mambo ya ndoa, mwaka, 2017 kuna binti huku niliko alipata m humba mtoto wa mchungaji, wakina mama wa kanisani mke wangu akiwemo si unajua tena wanavyokuwaga na viherehere, mambo yakaenda vizuri tu, ndoa ikafungwa kanisani watu pilau wakala na wamama wa viherehere vigeregere wakapiga, bibi harusi huyoo akaenda kwa mumewe, hakuolewa mbali sana na kwao hata mwendo wa mguu anaweza tembea akafika. My point sasa, ndoa ilidumu hardly miezi 2, siku moja naelekea job namuona huyo binti kwao, nikawaza huyu miezi 2 tu amekumbuka kwao! Nikaenda zangu job, usiku wakati tunapeana umbea na wife si nikamuuliza, vipi binti mliyeoza mbona nimemuona kwao? Akajibu hivi sijakupa ubuyu! Yule binti kijana aliyemuoa inasemekana ananguvu za ziada kwenye kunyanduana, nikasema hilo linatatizo gani kama kijana anajiweza? Akasema siyo hivyo, yaani muda wote anataka vyombe, binti akiwa anafua, anapika, anakula au hata anaongea na watu, jamaa anaita, binti akichelewa anakuta jamaa hadi anavibrate hadi mate yanatoka! Nikauliza ikawaje sasa, akajibu binti mwanzoni alivumilia kwa kuhisi labda baadae jamaa atazoea mbususu aache kumsumbua lakini wapi, kukicha Bora ya jana. Binti akamueleza mama mkwe wake, mama mkwe akamshirikisha mumewe, kikao chao kikajadili kuwa binti ameenda kuolewa, na anachofanya kijana wao ni tafsiri halisi ya ndoa hivyo binti atimize wajibu wake kwa mumewe. Binti akaona cha kufia nini akaamsha popo kurudi kwao. Hadi muda huu naandika binti yupo kwao, hajaolewa anajishughulisha na ufundi cherehani. Mnisamehe kwa maelezi marefu na kiswahili kibaya ambacho baadhi yenu humu mmechangia kuni- influence.
 
😁😁😁. Nitajitahidi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…