Miaka 40 tu lakini ulaji wa tunda ushakuwa shida

Ukijifanyia auditing mwenyewe utabaini kuna habits kadhaa umeziendekeza kiasi Cha kuathiri sexual health yako.
 
kuna jambo kubwa unataka kuaaccmplish kwa wanaume ni jambo la kawaida ila kwa wavulana hawatakuelewa.
 
Mkuu nitumie namba ya shemeji inbox... Kuna mambo nimshauri utashangaa tu hamu inakuijia Kila siku.

Asante!!
 
Ndio uone umuhimu wa wanaume wanaotembea na wake za watu. Huo usumbufu unaopata inatakiwa ukubali atokee mwamba awe anamkunja mkeo vizuri sana hadi anaridhika shida upumbavu wa wanawake atabeba na mimba kabisa ya jamaa na taanza dharau kwako hawajui kabisa kula na kipofu hawa mapimbi.
 
Ushauri mwingine Mmmmmmh πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Atagawa kwa wengine shauri yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…