Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwani shida iko wapi ukisaidiwa?Mwamba, siwatanigongea😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani shida iko wapi ukisaidiwa?Mwamba, siwatanigongea😁😁😁
We jishikilie mbinguni ntakuwa siti ya mbeleee NITAKUSHANGAZA😂😂😂😂😂😂🙌🙌 Ila mna magroup yenyu yale ya hovyo hovyo....
Aaaagh aiseee hatare na nusu nyie watu pepo mtaiona kwa mbaaaaliiiii
Kuna watu hatutokubali kabisa...We jishikilie mbinguni ntakuwa siti ya mbeleee NITAKUSHANGAZA😂😂😂
Roho mbaya tu imekujaa kama ngosha kiboko ya penina rwegoshora😂😂Kuna watu hatutokubali kabisa...
Tuta screenshot mambo yenu kule yote....
Tutampa malaika... Hutoboi hapo 😂😂😂
Sababu:Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Hainaga vipimo chuki chuki.....Roho mbaya tu imekujaa kama ngosha kiboko ya penina rwegoshora😂😂
Bright yellow in color😂Hainaga vipimo chuki chuki.....
😂😂😂😂😂😂
Uzuri tupo hapa si tutaona kama utatoboa yaani wewe wa kwenda kule kwenye non luminos frame
Ukute umeoa mpare mwenzio, kwa ninavyowajua wamama wa kipare. Aloo achana na chips mayai kabisa. Kula hata makande ya karanga.Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Sheeenziiii ni blue in color...Bright yellow in color😂
Mkuu najua utasema ni utani ila hii mbinu utanishukuru badae kwa mda wako..
Na hata kama utakua na chochote kitu utanitumia tuu sina baya..
Nunua cologate ile dawa ya meno.
Kila asbhi paka na unapolala paka
Ndani ya week case itakua cclosCome on man
Come on😄Mkuu najua utasema ni utani ila hii mbinu utanishukuru badae kwa mda wako..
Na hata kama utakua na chochote kitu utanitumia tuu sina baya..
Nunua cologate ile dawa ya meno.
Kila asbhi paka na unapolala paka
Ndani ya week case itakua closed....
Bora unisaidie mwenzangu😁😁😁Wewe ilikusaidia?
Hapo ndio unaharibu Sasa😁😁Achia Namba ya Mkeo Wahuni tukuweke Sub, zingatia Neno Wahuni
Huu ni uchochezi😂. Sitaki😂Bora unisaidie mwenzangu😁😁😁
Unapatiwa njia unajua utani....Bora unisaidie mwenzangu😁😁😁
Achia Namba ukae Sub wewe uwanjani huchezi sasa unakaa uwanjani kufanya Nini inabidi aingie kiungo MSHAMBULIAJIHapo ndio unaharibu Sasa😁😁
Unaishi sehem gani?Nina miaka 40 pia nimejaariwa watoto 2, shida ni kwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida.
Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Hamna, hela ya kula mbona ninayo ndugu, ml 20-30 sikosi, Sasa hapo utasema nina maisha magumu?Tafuta pesa kwa bidii nguvu zitarudi automatic nidhahiri umefulia kiuchumi....teh