Abraham Lincolnn
JF-Expert Member
- Apr 12, 2018
- 2,754
- 4,975
Serikali inayojinasibu kukusanya matrilioni ya mapato ya kodi, Mwaka hadi mwaka inavunja rekodi! Achilia mbali vyanzo vingine vikuu vya mapato ambavyo nchi yetu imebarikiwa, kama madini, vivutio vya utalii, ardhi safi na amani inayohubiriwa kila siku! Lakini kwa miaka zaidi ya 60, Mkulima, Mfanyabiashara, Mvuvi, Mwanafunzi, Mgonjwa aliyepo Mafia anashindwa kuvuka upande wa pili kwa siku zaidi ya 18! Kisa?? Kivuko kibovu 🤦🏾♂️
MUNGU IBARIKI USA