Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwawekea miundombinu utaamusha uchumi na mapato yataongezeka ukizingatia mafia ni kisiwa Cha utalii.Kwani Mafia wanachangia kiasi Gani ili wadai Haki? Mwaka Jana Mafia walichangia TRA kiasi Gani?
Juzi tumepitwa na Uganda hadi kwenye per Capita. Per Capita imeshuka sana sasa ni $1200...uganda ni $1300 imagine unapitwa na Uganda nchi isiyo na bandari.
Na hawaongelei kabisa hii ishu kuwa nchi imerudi nyuma sana kiuchumi
wanadhurumu sana wananchi,huku wakulima wameozeshewa mazao ya mbaazi na malipo hayaji kwa wakati
Wafanye kazi yao sio kujificha nyuma ya ujanja wa Miradi ya kimkakati,kwanini ccm haitaki watu wafurahi kila Kona wanabana,wakandarasi Hadi wanakufa lipeni watu jasho lao.Watoe tenda kwa Azam marine
Soma hio ni October 26, 2024MUNGU IBARIKI USA
Mabilioni yametumika kuwalipa wakata viuno wa CCM DodomaHii Serikalini ni pasua kichwa, mda unaweza hata kujikuta umetokwa na neno baya, ukifikiria upuuzi unaoendelea hapa nchini
Wanakwapua pesa kutoka hazina bila aibu yeyote ileMabilioni yametumika kuwalipa wakata viuno wa CCM Dodoma