Mtoa hoja umenikumbusha kuhusu wilaya hii, vipi kule Mloka je maji Safi na salama wamepata?
Hizo siyo kazi za Mbunge. Kwani Kisarawe hawana Halmashauri? Si ndiyo palipompatia sifa Jokate na yule nani sijui waliemhamishia Kibaha?Huyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.
Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.
Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Kazi ya mbunge ni niniHizo siyo kazi za Mbunge. Kwani Kisarawe hawana Halmashauri? Si ndiyo palipompatia sifa Jokate na yule nani sijui waliemhamishia Kibaha?
Ipo kwenye KatibaK
Kazi ya mbunge ni nini
Ameoa wanawake wa4 akumbuke maji ya nnClassmate anazingua
Ndo hiyo Sasa nayosema mana katiba nimeisoma na mi mwanasheria. Labda we ndo hujuiIpo kwenye Katiba
Mbona hata hapa mpwapwa Dodoma,hali ni hyo hyo maji chumviKote ni shida. Kijiji Cha marumbo hata maji ya kunywa hayapo. Ukitaka kuoga inabidi ununue maji ya chumvi na unaoga some parts labda miguu au mikono kwa kutumia sabuni ya unga
Halafu Bado mnataka eti tuendeshe bandari sisi wenyewe wakati hata maji hatuwezi wakati tumezungukukwa na mito na maziwa. Umaskini unetujaa mpaka matakoni halafu ubishi mwingi sana eti dp world wasitudaidie.Mbona hata hapa mpwapwa Dodoma,hali ni hyo hyo maji chumvi
Kwa hiyo na wewe ni Mwanasheria? Kama hata kuandika hujui, utaweza kuielewa Katiba kweli?Ndo hiyo Sasa nayosema mana katiba nimeisoma na mi mwanasheria. Labda we ndo hujui
Kwa hiyo na wewe ni Mwanasheria? Kama hata kuandika hujui, utaweza kuielewa Katiba kweli?
Apewe Mwarabu napoMbona hata hapa mpwapwa Dodoma,hali ni hyo hyo maji chumvi
Sio kwa jafo tu, hata ukienda kwa mawaziri wengine hali ni hiyo, ukienda kwa makamu hata raisj hali ni hiyoHuyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.
Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.
Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Kwa nini tukimbilia bandari ikiwa kila sehemu hatuwezi? Si tuwape serikali yoteHalafu Bado mnataka eti tuendeshe bandari sisi wenyewe wakati hata maji hatuwezi wakati tumezungukukwa na mito na maziwa. Umaskini unetujaa mpaka matakoni halafu ubishi mwingi sana eti dp world wasitudaidie.