Miaka karibu 10 ya Jafo ubunge Kisarawe bado maji ni ya chumvi. Kuoga mpaka uogee detergents

Miaka karibu 10 ya Jafo ubunge Kisarawe bado maji ni ya chumvi. Kuoga mpaka uogee detergents

Huyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.

Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.

Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Mswahili anaoa kila siku, kimsingi wengi wanasaidia aidha na udini, uchawi, ufisadi na ukaribu na mteuzi
 
Mbona hata hapa mpwapwa Dodoma,hali ni hyo hyo maji chumvi
Nimepita Jana njia ya Iringa _ Dom
Hivi huko mnaishije?
Nimeona Kuna ng'ombe wengi halafu majani yamekauka vumbi tu, na maji hakuna kabisa
 
Nimepita Jana njia ya Iringa _ Dom
Hivi huko mnaishije?
Nimeona Kuna ng'ombe wengi halafu majani yamekauka vumbi tu, na maji hakuna kabisa
Kwenye jimbo la Lukuvi pale Isimani pana ukame wa hatari mnoo

Afu wapo jirani na bwawa la mtera
 
Huyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.

Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.

Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Labda yupo busy sana?!🤣😂😅😆😁
Screenshot_20230702-175737.jpg
 
Kaimu waziri mkuu huyoo, au huna habarii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umemalizaa kabisaaa.
Anaishi Kigamboni huyo! Kisarawe ana nyumba ambayo alimjengea Mama yake baada ya Mama kufariki sijui anaishi nani.Huko Kwa Baba yake Kwala ndio kajenga kajumba kodoogo ka vyumba 2 na sebule kakuzugia Tena mwaka wa 2 huu akajaisha.
 
Amekwambia nani ili Mbunge alambe teuzi ya Uwaziri anatakiwa awape Wananchi wake maji matamu
 
Kote ni shida. Kijiji Cha marumbo hata maji ya kunywa hayapo. Ukitaka kuoga inabidi ununue maji ya chumvi na unaoga some parts labda miguu au mikono kwa kutumia sabuni ya unga
Na watu wanaishi na kuzaliana bila maji ya Kunywa. Au wananchi wamehama?
 
Huyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.

Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.

Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Huu ujinga ccm ndio imewaambukizawananchi. Kwa makusudi walikuwa hawapeleki fedha za miradi kwenye maeneo ambayo wawakilishi wa wananchi ni wa vyama pinzani halafu wanadanganya raia wawakilishi wenu ndio kikwazo Cha maendeleo. (ushahidi- jiwe alisema hilo hadharani). Sasa raia wameendelea kuwa wajinga, badala ya kuuluza halmashauri inafanya kazi gani wanauliza mbunge. Mbunge ni kisemeo tu; pesa, utaalam, watendaji na vitendeakazi vipo halmashauri.
 
Halafu Bado mnataka eti tuendeshe bandari sisi wenyewe wakati hata maji hatuwezi wakati tumezungukukwa na mito na maziwa. Umaskini unetujaa mpaka matakoni halafu ubishi mwingi sana eti dp world wasitudaidie.
Sisi tunajuwa kukatika mauno tu

Ova
 
Huyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.

Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.

Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Ana wake wanne sasa, huwezi kuwa na kakichwa kadogo vile na kile kijuso ukawa na akili.
 
Anaishi Kigamboni huyo! Kisarawe ana nyumba ambayo alimjengea Mama yake baada ya Mama kufariki sijui anaishi nani.Huko Kwa Baba yake Kwala ndio kajenga kajumba kodoogo ka vyumba 2 na sebule kakuzugia Tena mwaka wa 2 huu akajaisha.
Niko Kijiji kinaitwa kikwete hapa ,napata stori zakingwendu hapa
 
Huyu Jafo hakuna lolote analofanya Kisarawe mkoa wa Pwani. Ni ujanja ujanja tu nashangaa anapaje Uwaziri wakati uwezo wake mdogo sana.

Mpaka Leo wananchi wa Kisarawe hawana maji mpaka ya kunywa ni shida mpaka wategemee mvua inyeshe. Kuoga mpaka uogee sabuni ya unga vinginevyo sabuni ya kawaida povu halitoki kabisa.

Hii nchi Bado sana. Viongozi hawana uchungu kabisa na wananchi.
Mleta mada mm natokea wilaya amabapo mbunge wake alishawahi kuwa waziri wa elimu maji utalii ila nikisema kwamba hakuna maji ya uhakika wala hakuna lolote alilofanya kwenye utalii utashangaa hii ndio nature ya viongozi wetu na watu wetu. Alipigwa chini ila now anataka arudi tena cha ajabu watu wanamsupport kwa kanga na 5k anazohonga. Yaani mtu anathamini kula ya leo anasahau akitoa kura ndio 5years hakuna maendeleo imagine waziri wa maji na kwake hakuna maji ya uhakika wala hakuna mradi unaoeleweka wa maji. Kuna tatizo kubwa sana kwenye swala la uongozi
 
Back
Top Bottom