Miaka michache ijayo Tanzania itaenda kuwa na watu wenye msongo mkali wa mawazo kutokana na madeni

Miaka michache ijayo Tanzania itaenda kuwa na watu wenye msongo mkali wa mawazo kutokana na madeni

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Ili kuwepo na ustawi ni lazima nchi ikuze hali ya uchumi wa watu wake. Purchasing power lazima iongezeke. Kinyume na hapo ni stress na madeni.

Leo kuna viwanja vinauzwa kwa mkopo, kuna wafanyabiashara wanakopesha zana za ujenzi kwa riba, kuna magari ya mkopo na hamna kipato cha uhakika.

Application softwares za kukopesha mitandaoni zinachipua kama uyoga. Zote zimemlenga Mtanzania mwenye kipato cha chini. Mikopo ni kuanzia 10,000 na kuendelea, haizidi milioni.
Pia kuna simu za mkopo na vocha za mkopo, yerewiiiii....

Jichanganye ukope benki, ukope kiwanja, ukope gari, ukope vifaa vya ujenzi, ukope kwenye wakopeshaji wa mtandaoni. Imekula kwako, stress lazima zikuhusu

Hii ni hatari sana.
 
Ili kuwepo na ustawi ni lazima nchi ikuze hali ya uchumi wa watu wake. Purchasing power lazima iongezeke. Kinyume na hapo ni stress na madeni.

Leo kuna viwanja vinauzwa kwa mkopo, kuna wafanyabiashara wanakopesha zana za ujenzi kwa riba, kuna magari ya mkopo na hamna kipato cha uhakika.

Application softwares za kukopesha mitandaoni zinachipua kama uyoga. Zote zimemlenga Mtanzania mwenye kipato cha chini. Mikopo ni kuanzia 10,000 na kuendelea, haizidi milioni.

Jichanganye ukope benki, ukope kiwanja, ukope gari, ukope vifaa vya ujenzi, ukope kwenye wakopeshaji wa mtandaoni. Imekula kwako, stress lazima zikuhusu

Hii ni hatari sana.
Kama purchasing power hipo chini unabidi kujifunza ubahili
 
Kuna watumishi wa umma mpaka vyeti vyao vya taalamu vimewekwa rehani
😎😎 Sema wanabidi wajifunze ubahili badala ya kununua maji ya chupa wawe wanachemsha wanaenda nayo kazini

Badala ya kula bia wale kangara na sungura

Barayla Ya kuvuta Embassy wanweza vuta Nyota.

Sehemu ambayo inafikika kwa Mguu wanaweza kutembea kwa Mguu


Nguo unaweza nunua za karume na kuchanganya moja la dukani
 
😎😎 Sema wanabidi wajifunze ubahili badala ya kununua maji ya chupa wawe wanachemsha wanaenda nayo kazini

Badala ya kula bia wale kangara na sungura

Barayla Ya kuvuta Embassy wanweza vuta Nyota.

Sehemu ambayo inafikika kwa Mguu wanaweza kutembea kwa Mguu


Nguo unaweza nunua za karume na kuchanganya moja la dukani
Balaa lake kubwa
 
[emoji41][emoji41] Sema wanabidi wajifunze ubahili badala ya kununua maji ya chupa wawe wanachemsha wanaenda nayo kazini

Badala ya kula bia wale kangara na sungura

Barayla Ya kuvuta Embassy wanweza vuta Nyota.

Sehemu ambayo inafikika kwa Mguu wanaweza kutembea kwa Mguu


Nguo unaweza nunua za karume na kuchanganya moja la dukani
Karanga na sungura sio ubahili bali nikuja tengeneza matumizi makubwa ya pesa pale utakapo anza kuchujwa Figo.
 
Siri ya utajiri ni ubahili. Hiyo ilikuwa zamani. Siku hizi siri ya utajiri ni umasikini wa watu. Tafuta mtaji, watumikishe mafukara
Sema mfanikio yanahitaji watu wenye Akili Sana

Kuna mtu yeye akipata hela zinamletea Matatizo anatembea na MALAYA anakula Pombe Hadi anarudi alipokuwa Mwanzo katika poverty zone


So success ni mchakato wa matumizi makubwa ya Akili.
 
Karanga na sungura sio ubahi bali nilikuja tengeneza matumizi makubwa ya pesa pale utakapo anza kuchujwa Figo.
Pombe kali yoyote dawa yake ni maji mengi.
Glass moja ya Pombe, glass moja na nusu ya maji.
 
Mikopo yenyewe ya simu za mikopo buku jero kwa siku kuna watu huwa inawatoa jasho kiasi cha kufungiwa huduma mara kwa mara mpaka walipe kwanza.
 
Karanga na sungura sio ubahi bali nilikuja tengeneza matumizi makubwa ya pesa pale utakapo anza kuchujwa Figo.
Mzunguko wa Mtu masikini mgumu Sana akiwa na hela anakunywa Pombe zinamuunguza maini akiishiwa hela anakunywa sungura zinaharibu Figo na ubogo

Inshort hii Dunia inahitaji kuwa na cleanest lifestyle ndo utaishi vizuri
 
Back
Top Bottom