Miaka michache ijayo Tanzania itaenda kuwa na watu wenye msongo mkali wa mawazo kutokana na madeni

Miaka michache ijayo Tanzania itaenda kuwa na watu wenye msongo mkali wa mawazo kutokana na madeni

Hii nchi watu Maisha yakaze zaidi ili akili zikae vizurii,
Ifike hatu mtu usikubali tena kuonewa,
Usikubali tena kutapeliwa
Usikubali tena kuibiwa,
Usikubali tena kunyonywa...
 
Mzunguko wa Mtu masikini mgumu Sana akiwa na hela anakunywa Pombe zinamuunguza maini akiishiwa hela anakunywa sungura zinaharibu Figo na ubogo

Inshort hii Dunia inahitaji kuwa na cleanest lifestyle ndo utaishi vizuri
Umeona ehh, very true. Ila waadilifu nao hufa.

Unachitakiwa kufanya ili uishi vizuri, lala vizuri, kula vizuri, fanya mazoezi, enjoy life
 
Mzunguko wa Mtu masikini mgumu Sana akiwa na hela anakunywa Pombe zinamuunguza maini akiishiwa hela anakunywa sungura zinaharibu Figo na ubogo

Inshort hii Dunia inahitaji kuwa na cleanest lifestyle ndo utaishi vizuri
Kweli kabisa mkuu ila wanywaji wengi wana ramani za Vita , kwenye moja mbili tatu unaokota kitu.
 
Hii nchi watu Maisha yakaze zaidi ili akili zikae vizurii,
Ifike hatu mtu usikubali tena kuonewa,
Usikubali tena kutapeliwa
Usikubali tena kuibiwa,
Usikubali tena kunyonywa...
CCM itapata wapi wapiga kura tukifikia levels hizi?
 
Umeona ehh, very true. Ila waadilifu nao hufa.

Unachitakiwa kufanya ili uishi vizuri, lala vizuri, kula vizuri, fanya mazoezi, enjoy life
Unamshauri Nini Mtu anayetoka Familia masikini ila yupo mjini kazaa watoto sita na Mama tofauti Ila kaamua kuishi na mke mmoja Kati ya hao aliozaa nao

Kazi yake kubwa ni bodaboda

Anakunywa sungura , energy drink anavuta embassy sigara

Anapanga chumba na sebule umri wake 40s dini muislmu mkoa singinda

Ushauri
 
Siri ya utajiri ni ubahili. Hiyo ilikuwa zamani. Siku hizi siri ya utajiri ni umasikini wa watu. Tafuta mtaji, watumikishe mafukara
Wala siyo siku hizi tu ni tangu karne na enzi. Hebu jaribu kupitia kwenye zile docs za 'the men who made America' uone hao akina Carnegie na Ford waliwatumikisha akina nani mpaka wao wakawa mabilionea.
 
[emoji41][emoji41] Sema wanabidi wajifunze ubahili badala ya kununua maji ya chupa wawe wanachemsha wanaenda nayo kazini

Badala ya kula bia wale kangara na sungura

Barayla Ya kuvuta Embassy wanweza vuta Nyota.

Sehemu ambayo inafikika kwa Mguu wanaweza kutembea kwa Mguu


Nguo unaweza nunua za karume na kuchanganya moja la dukani
Second hand clothes kwa Tanzania ni bora kuliko malonya ya Kariakoo. Kwanza kwa nguo quality za mtumba bei ni kubwa kuliko mpya. Mfano mimi navaa viatu, suruali, mashati na mikanda ya mitumba first class. Bei zake zimesimama sana. Kama viatu na mikanda ninavaa pure leather.

Nikinunua kiatu kiatu kweli na bei imesimama

Kwa ufupi napenda sana kuvaa na nguo nzuri binafsi nazipata kwenye mitumba kuliko madukani.

Angalizo dogo: sina shida ya hela hata kidogo
 
Kweli kabisa mkuu ila wanywaji wengi wana ramani za Vita , kwenye moja mbili tatu unaokota kitu.
Afya Ni mtaji namba moja ukiwa na hela na Afya unaiEnjoy Maisha

Mimi binafsi nimeona watu wengi na mwisho wa walevi huwa wanakufa ghafla na wengi huwa hawapewi attention na jamii ila ukifatiliia in deep mwisho wao ndo huo
 
Afya Ni mtaji namba moja ukiwa na hela na Afya unaiEnjoy Maisha

Mimi binafsi nimeona watu wengi na mwisho wa walevi huwa wanakufa ghafla na wengi huwa hawapewi attention na jamii ila ukifatiliia in deep mwisho wao ndo huo
Kweli kabisa ulevi sio poa , ila unywaji sioni kama una tatzo.
 
Kitaalam hili tatizo linasababishwa na nn? Itakua si mbaya ukitupa na source ya taarifa Yako..
 
Second hand clothes kwa Tanzania ni bora kuliko malonya ya Kariakoo. Kwanza kwa nguo quality za mtumba bei ni kubwa kuliko mpya. Mfano mimi navaa viatu, suruali, mashati na mikanda ya mitumba first class. Bei zake zimesimama sana. Kama viatu na mikanda ninavaa pure leather.

Nikinunua kiatu kiatu kweli na bei imesimama

Kwa ufupi napenda sana kuvaa na nguo nzuri binafsi nazipata kwenye mitumba kuliko madukani.

Angalizo dogo: sina shida ya hela hata kidogo
Unavaa nguo iliyovaliwa na mtu ambaye yeye kaitoa Kama charity

Dukani zipo nguo nzuri sema pesa ndo kubwa huwezi kuwa well financially stable ukavaa mtumba ambao mtu kauvaa doesn't make sense
 
Ili kuwepo na ustawi ni lazima nchi ikuze hali ya uchumi wa watu wake. Purchasing power lazima iongezeke. Kinyume na hapo ni stress na madeni.

Leo kuna viwanja vinauzwa kwa mkopo, kuna wafanyabiashara wanakopesha zana za ujenzi kwa riba, kuna magari ya mkopo na hamna kipato cha uhakika.

Application softwares za kukopesha mitandaoni zinachipua kama uyoga. Zote zimemlenga Mtanzania mwenye kipato cha chini. Mikopo ni kuanzia 10,000 na kuendelea, haizidi milioni.
Pia kuna simu za mkopo na vocha za mkopo, yerewiiiii....

Jichanganye ukope benki, ukope kiwanja, ukope gari, ukope vifaa vya ujenzi, ukope kwenye wakopeshaji wa mtandaoni. Imekula kwako, stress lazima zikuhusu

Hii ni hatari sana.
Tatizo siyo mikopo tu. Tatizo kubwa mikopo ya nchi hii imeambatana na JANJA JANJA za KITAPELI.

Na serikali inahusika na kunufaika kabisa.
 
WATANZANIA WENGI NI WAJINGA.


Fursa ya mikopo haina shida yoyote ile, ila tatizo ni ukweli kwamba raia wengi wa Tz ni wajinga ( hawana elimu kabisa iwe ni rasmi au ile ya mtaani), matokeo yake wengi wanaokopa hawana lolote la kuzifanyia hizo pesa na hata cha kufanya kipo basi kutokana na ujinga wao mara nyingi wataanguka tu.



Ukiangalia wahanga wakubwa wa madeni ni mama zetu ambao wameamua tu kuonekana nao ni wapambanaji mitaani bila ya kuwa na stratagies zozote, mwisho wamekuwa ni wateja wakubwa wa hizi microfinance za kijingakijinga kwasababu ni wepesi kushawishika.


Nakubaliana na ulichokisema.
 
Mabenki yanauza nyumba za watu balaa, watu walikopa wakashindwa kurejesha mikopo nyumba na viwanja vyao walivyoviweka dhamana zinapigwa minada na mabenki walikokopa fedha. Mpaka wale wa mikopo umiza wanaingia majumbani kuchukua thamani kama stuli, makochi, vitanda mpaka vigoda kufidia mikopo waliyokopwa na watu hao. Ni patashika tupu mitaani. Hii ni dalili mbaya ya kuwepo kwa umasikini mkubwa katika jamii
 
Back
Top Bottom