KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
- Thread starter
- #41
Maskini gani anaweza kuajiri?Kama ni hivyo masikini wote wangekuwa matajiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini gani anaweza kuajiri?Kama ni hivyo masikini wote wangekuwa matajiri.
Maskini kama Bakhresabna Mo DewjiMaskini gani anaweza kuajiri?
Malaghai hawa. Waogopeni kama ukomaMaskini kama Bakhresabna Mo Dewji
Yap. Hawakupi siri yao ya ndaniMalaghai hawa. Waogopeni kama ukoma
Nchi yangu ilitakiwa kuwa tajiri mkubwa, ila ina ujinga mwingi ikiwemo kuamini kwamba mwenge unaleta amani. Pumbavu kabisa.Mithali 22
7 Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
Roho ya kukopa kopa ni Roho kamili ya SHETANI inayoendeleza umasikini. Ni Roho mbaya inayosambazwa na Marekani, ulaya, world bank na IMF Ili kuendeleza umasikini na utumwa.
Hakuna Taifa au mtu binafsi atafuta umasikini Kwa pesa za mkopo. Hata bodi ya mkopo inatengeneza masikini siyo wasomi. Tujihadhari wandugu.
Hawa wanaokopesha mitandaoni nadhani wanajuta sana tabia za watz zinawanyong'onyeaha sana..Ili kuwepo na ustawi ni lazima nchi ikuze hali ya uchumi wa watu wake. Purchasing power lazima iongezeke. Kinyume na hapo ni stress na madeni.
Leo kuna viwanja vinauzwa kwa mkopo, kuna wafanyabiashara wanakopesha zana za ujenzi kwa riba, kuna magari ya mkopo na hamna kipato cha uhakika.
Application softwares za kukopesha mitandaoni zinachipua kama uyoga. Zote zimemlenga Mtanzania mwenye kipato cha chini. Mikopo ni kuanzia 10,000 na kuendelea, haizidi milioni.
Pia kuna simu za mkopo na vocha za mkopo, yerewiiiii....
Jichanganye ukope benki, ukope kiwanja, ukope gari, ukope vifaa vya ujenzi, ukope kwenye wakopeshaji wa mtandaoni. Imekula kwako, stress lazima zikuhusu
Hii ni hatari sana.
Kila siku wanabadili mbinu za kufanya debts recoveryHawa wanaokopesha mitandaoni nadhani wanajuta sana tabia za watz zinawanyong'onyeaha sana..
Sahihi kabisaKunamaeneo mawili kama ufumbuzi
1. Kila mmoja awe na bidhaa ama hudduma anauza hata kama kaajiriwa . Hilivyo wengi ni good spender
2. Kusiwe na mikono michache inayozalisha kwa kaya na midomo mingi inayokula ilihali wana uwezo wa kupangiwa kazi
Well saidMithali 22
7 Tajiri humtawala maskini, Naye akopaye ni mtumwa wake akopeshaye.
Roho ya kukopa kopa ni Roho kamili ya SHETANI inayoendeleza umasikini. Ni Roho mbaya inayosambazwa na Marekani, ulaya, world bank na IMF Ili kuendeleza umasikini na utumwa.
Hakuna Taifa au mtu binafsi atafuta umasikini Kwa pesa za mkopo. Hata bodi ya mkopo inatengeneza masikini siyo wasomi. Tujihadhari wandugu.
Unamshauri Nini Mtu anayetoka Familia masikini ila yupo mjini kazaa watoto sita na Mama tofauti Ila kaamua kuishi na mke mmoja Kati ya hao aliozaa nao
Kazi yake kubwa ni bodaboda
Anakunywa sungura , energy drink anavuta embassy sigara
Anapanga chumba na sebule umri wake 40s dini muislmu mkoa singinda
Ushauri