Miaka mitano baada ya kumaliza chuo, hatimaye naenda kwenye mshahara wa Milioni 6, bado siamini, nawaza sana

Hili alipaswa kulizingatia kabla haja post.Sio kitu kizuri kabisaa hiki kwa ustawi wa maisha yake.Binadam ni wabaya sanaaaaaa....
 
Kuna zile ndoto unaweza kuwa unaota katika kuota huko unaweza hadi kupost thread JF lakini baadae ukistuka unashangaa sana
Evilspirit. Kijana namfahamu huko Kwa makanjibai mie ndie nilimwambia atume CV na kweli alinishukuru baada yakupata kazi. Hii net stage sijui nikweli au laa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…