Engineer MchipilA
Member
- Mar 25, 2020
- 38
- 44
NakazaiaSababu kubwa ya wazee kuendelea kulamba teuzi huku wamestaafu ni vijana kushindwa kuwa na vifua vya kuhifadhi mambo.. pia vijana kushangilia ushindi wakati mechi bado haijaisha. Hebu kijana tuliza hizo hisia zako... subiri hadi uanze kazi kwanza. Halafu kingine huo mshahara kama utapata utumie vizuri kwa ajili yako na familia yako. Mambo ya kuwaza kumuoshea Ex ni upumbavu mtupu. NINASISITIZA TENA uwe mkimya na msiri. Kitendo cha kutuanikia mishahara yako kinaashiria wewe ni kijana wa hovyo.
Samahani,hivi LINKEDIN unajiunga vipi!Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2.
Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm jana, niende kituo cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.
Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.
Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.
Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.
Nawaza sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?
Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.
Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.
Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Jombaa kazi yenye mshahara wa zaidi ya Tshs. milioni 6 kwa mwezi kibongo bongo haikupi nafasi ya kufanya mambo yako binafsi. Bongo utai-enjoy maisha ukiwa mtendaji mkuu (CEO) maana una option ya ku-assemble timu ya wasaidizi wenye vichwa vizuri, wewe ni ku-review vi-report kila siku asubuhi na kuongoza vikao.Laki Mbili Per Day....
This make sense...
Town hapa Patamu ufike 1m per day! Hizo Tambo zako ndio utazifanya kwa hasira zote,maana una mahasiraa muraah!
Ongeza Juhudi + Jiongeze 200k per day uwezo wa kufika 1m per day by 2025-2026 upo 80% kama ukiweza jua nini unafanyia hiyo pesa kuizalisha zaidi.
All in All katoe sadaka ya shukran arif halafu funga hilo bakuli sasa,Tutakuloga bure!
Na mimi nimenukuu kama alivyoandikaNimelitafuta kwenye kamusi
[emoji1][emoji1][emoji1]Na mimi nimenukuu kama alivyoandika
Hizo ni taiping ero tu kikubwa kuelewa alichomaanisha.Wame comferm na unaenda Kulipoti, hongera ndugu fundi makenika huko mgodini.
Unaonaje kama ungemuuliza wewe kwakuwa umeliona hilo? Halafu unajua vizur maana ya taiping erro/ typing error?Hizo ni taiping erro tu humu hatuandiki kutafuta vyeti kama ungemuuliza kwanini ktk vipaumbele vyake hajaweka wale wasiojiweza?(imani yangu alipo wapo) ungekuwa umefanya jambo la maana zaidi.
Kama umetoka extended family mapambano ndiyo yameanza, kuna wenye uhitaji wa kweli lakini wengi huvuta kwa nguvu ili tu ubaki nyuma.Nawaza sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi
Tuliza akili Chini vuta mda, siku ya kureport ikifika nenda kareport usiwe na preshaNaona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.
Taratibu Japo Ndoana Haina Chambo Najua Wataimeza Hadi TumboniKabisa watajaa tu 😀😀.
Kwamba kwanini sikumuuliza mimi siyo shida ila sababu nimeshalisema hapo nilipokukoti automatiki yeye ataliona na atanijbu ikimpendeza haina haja ya kujaza seva az longi az hatulipi humu.Unaonaje kama ungemuuliza wewe kwakuwa umeliona hilo? Halafu unajua vizur maana ya taiping erro/ typing error?
Huu mwandiko mbona kama siyo wa 6m vileee..!!!Baada yakumaliza chuo 2018, degree ya Mechanical engineering, nilipata internship kiwanda kimojawapo Cha bia mjini Dar es Salaam. Nikafanya kazi kwa miaka 2, Kwa posho ya laki 4 Kwa mwezi. Kisha baada yahapo 02/2020 nikapata kazi kwa makanjibai kiwanda kimojawapo Cha COSMETICS Kwa mshahara wa mil 1.2.
Sasa Mungu sio wa kanjibai, nimefanya Interview nakampuni Moja ya madini kutoka AUSTRALIA week 2 nyuma, Sasa wameniconferm jana, niende kituo cha kazi huko Geita ,mwezi ujao, hapa nilipo nahisi kama naota vile.
Naona siku kama haziendi niende nikalipoti, nahisi kama jamaa wanaweza ahirisha vile, nawaza namna gani maisha yangu yanaenda kubadilika, nawaza namna gani naenda kuitoa familia yangu kwenye umasikini baada yakufanya biashara ndogondogo nikiwa chuo, nahatimae baadae zikaja kuanguka. Nawaza miradi gani Nije nifanye hapo baadae, nawaza usafiri gani ntakuja kununua.
Nawaza zile haso zakwenda Dodoma Kila mara kwenye interview ndio zimeisha au, nawaza safari zakwenda nje ya nchi kwenye training mbalimbali kama walivyoniahidi.
Nawaza Dem wangu niliekua nampenda nakujitoa Kwa Kila kitu kwake ambae tulikua tunakaribiana mshahara yeye akiwa anapokea mil 1. Mie nikiwa napokea mil 1.2 alivyonipiga chini nakwenda kuolewa najamaa mwenye mwenye maisha mazuri kuliko Mimi, atanionaje nakile kigari Cha Jamaa yake kilichochoka choka.
Nawaza sana aisee hivi ndio naondoka kwenye kundi la MAKAPUKU au vipi?
Aisee wakuu tuendelee kumuomba Mungu Sana, maana hii kazi niloomba tu huko LINKEDIN bila kujuana na mtu yeyote.
Bado nawaza Sana na nahisi kama ndoto.
Wapiganaji wenzangu tusichoke tuendelee kupambana.
Naamini hata yeye mweyewe alielewa nilichokisema, Sema wewe ndio ulitaka kuamini nimemdhihaki kwa kuamini maneno yale hayaandikwi hivyo. Tujaalie tu ndugu yetu kapata hiyo deal na anaripoti hivi karibuni.Kwamba kwanini sikumuuliza mimi siyo shida ila sababu nimeshalisema hapo nilipokukoti automatiki yeye ataliona na atanijbu ikimpendeza haina haja ya kujaza seva az longi az hatulipi humu.
Yah,hayo maneno hapo nimekuwa nikiyasikia sikia pale mtu anapokosea kuandika sentesi hivyo hata mimi nikahisi jamaa alikosea ndiyo maana ukaandika vile,bado najifunza hivyo ukiniambia kama yana maana tofauti na hiyo utanielimisha pia.
Dua nzuri sana kwake,tuendelee kumtakia kheir ikawe hivyo.Naamini hata yeye mweyewe alielewa nilichokisema, Sema wewe ndio ulitaka kuamini nimemdhihaki kwa kuamini maneno yale hayaandikwi hivyo. Tujaalie tu ndugu yetu kapata hiyo deal na anaripoti hivi karibuni.
Sasa ni jukumu letu kumuambia tunayohisi yatamsaidia na mimi nishamuambia tayar huko juu.