Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Hapo sasaKwahiyo nijibane kwaajili ya kumfurahisha mume mtarajiwa?š¤£
Halafu vipi kuhusu mimi furaha yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasaKwahiyo nijibane kwaajili ya kumfurahisha mume mtarajiwa?š¤£
Halafu vipi kuhusu mimi furaha yangu?
Ngono salama..Sio Ngono zembeNa kuzini hovyo ni kutafuta Ukimwi na gono kwa lazima.
Salama kwa afya, hatari kwa roho na nafsiNgono salama..Sio Ngono zembe
si ndo apo ephen we tueinjoi tu maisha ya mizagamuoKwahiyo nijibane kwaajili ya kumfurahisha mume mtarajiwa?š¤£
Halafu vipi kuhusu mimi furaha yangu?
Si kweliMwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani
Nina guts we upo kwenye 0 kMWatu mnajiweza
Mimi siwezi kwakweli.
I can imagine ššNachezewaje wakati nasikia raha?š¤
0km ndio niniNina guts we upo kwenye 0 kM
Sio kwamba sijawahiTatiz ni pale ukisha anza Kula tunda bhc kuacha n ngumu lbda sijuh iyo sehem iwej yan kusiwe na ushawishi wowote lbda
Tamu endapo itapatikana kwa njia iliyo sahihi, tofauti na hivyo utamu wake huishia kuwa majuto ya nafsi.
SawaaSio kwamba sijawahi
Na mtoto ninaye.
Gari haijamwaga oil hata mara mojaš0km ndio nini
Bikra?Gari haijamwaga oil hata mara mojaš
Hayanga muongozo, ndiyo maana ni watamu sana...Tamu endapo itapatikana kwa njia iliyo sahihi, tofauti na hivyo utamu wake huishia kuwa majuto ya nafsi.
Brother wewe ndo umejijengea hilo.Mwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani
Tabia zako humu zinaniambia ivyoBikra?
Kweli bhana na je ukifa?Kwahiyo nijibane kwaajili ya kumfurahisha mume mtarajiwa?š¤£
Halafu vipi kuhusu mimi furaha yangu?