ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Thubutu...!!!Tabia zako humu zinaniambia ivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutu...!!!Tabia zako humu zinaniambia ivyo
Si ndo hapo!Kweli bhana na je ukifa?
Wakati pekee ambao unapaswa kujipa furaha ni pale inapowezekana, mambo ya kutegemea kumfurahisha usiyemjua ni zilipendwaSi ndo hapo!
Mtaniiiii....mambo
Nimecheka sana kiukweli, ila ni maamuzi tu madame hakuna cha zaidiInawezekana ila kuna mtu kauliza swali la maana! Nini ilikua distraction yako???
Namjua mtu ama watu wao Wanakwambia Mjani unakata kiu zote ndo mana wavutaji sio wazinzi..
Tatizo hawasemi kuwa wanakuwa masters of masturbation🤣🤣🤣🤣Inawezekana ila kuna mtu kauliza swali la maana! Nini ilikua distraction yako???
Namjua mtu ama watu wao Wanakwambia Mjani unakata kiu zote ndo mana wavutaji sio wazinzi..
HayaaNimecheka sana kiukweli, ila ni maamuzi tu madame hakuna cha zaidi
Wiki mbili zote? 😳Mwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani
Shukran sanaHongeraaa yako!
Kiongozi, wanadai inawezekanaWiki mbili zote? 😳
Kabisa kaka, wanaodhani haiwezekani tayari wamekuwa waraibu na hawawezi kuachaKukaa muda mrefu bila sex inawezekana kabisa.
Kuna mlokole mmoja tunaishi nae tuliwahi bishana akasema inawezekana na yeye anaweza cha ajabu yeye kapata mtoto tena nje ya ndoa, siku hizi akija kunihubiria huwa namuangalia tu anatiririka akichoka anaondokaMwanaume aliyekamilika hamalizi week 2 bila kutiana, narudia haiwezekani
Utakayempa nafas atakufaid sana kila kiungo bado kiko mahala pake 😁Thubutu...!!!
Naam,dunia ya sasa inajaribu ku~normalize sex kwa kila njia kwa kurahisisha upatikanaji wake.Kabisa kaka, wanaodhani haiwezekani tayari wamekuwa waraibu na hawawezi kuacha