Miamala kwa njia ya simu inatufilisi bila kujua

Miamala kwa njia ya simu inatufilisi bila kujua

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,011
Reaction score
1,681
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
 
Manufaa ya pesa ni kusaidia kuboresha maisha. Huo utumaji immediate utakuwa umesaidia kusolve problem fulani ambayo vinginevyo isingetatulika au ingechukua muda mrefu zaidi. Understood?

Hata makato yangepanda mara mia ya kiwango cha sasa, ukweli ni kwamba wateja na watumiaji wangezidi kukwadrapo deile! Siyo kwamba hawajui, lakini manufaa ni makubwa kuliko the so-called ^hasara!^

Ukiniambia kipato cha Watanzania (kwa ujumla) ndicho kidogo, nitakuelewa! But who cares?
 
Manufaa ya pesa ni kusaidia kuboresha maisha. Huo utumaji immediate utakuwa umesaidia kusolve problem fulani ambayo vinginevyo isingetatulika au ingechukua muda mrefu zaidi. Understood?

Hata makato yangepanda mara mia ya kiwango cha sasa, ukweli ni kwamba wateja na watumiaji wangezidi kukwadrapo deile! Siyo kwamba hawajui, lakini manufaa ni makubwa kuliko the so-called ^hasara!^

Ukiniambia kipato cha Watanzania (kwa ujumla) ndicho kidogo, nitakuelewa! But who cares?
Kwa hiyo hayo manufaa ya kusolve hilo tatizo anapata nani mkopaji au mimi
 
Mojawapo wa sheria mbaya iliyopitishwa na serikali.

Mitandao watatumia wenye nacho, masikini wa kipato anazidi kukandamizwa.

Kufutwa vitambulisho Machinga
Masoko kuungua moto
Bei juu ya kuunga Umeme
Kupanda Bei za bidhaa
Makato maradufu ya Simu
Walala hoi kulipia daraja kgmboni

Hakika tunaisoma namba
 
Ndo walivyo wakopaji na ukimuambia inakua ugomvi ati na yeye alikatwa
 
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.

Kwani hata yeye huyo uliyemtumia alitoa 100k kamili?
Kiufupi unapaswa umtumie na digits za kutolea ili anapokurudishia nae afanye hivyo, maana haiwezekani mfano umtumie mtu 100k kamili kama msaada then kama akiamia akurudishie mkononi akupe 100k ilihali alikatwa 5500/=
 
Manufaa ya pesa ni kusaidia kuboresha maisha. Huo utumaji immediate utakuwa umesaidia kusolve problem fulani ambayo vinginevyo isingetatulika au ingechukua muda mrefu zaidi. Understood?

Hata makato yangepanda mara mia ya kiwango cha sasa, ukweli ni kwamba wateja na watumiaji wangezidi kukwadrapo deile! Siyo kwamba hawajui, lakini manufaa ni makubwa kuliko the so-called ^hasara!^

Ukiniambia kipato cha Watanzania (kwa ujumla) ndicho kidogo, nitakuelewa! But who cares?
Ni kweli wateja wataongezeka vile options ni chache, lakini kama option rahisi zingekuwepo watu wasingetumia njia hii kuhamisha/kutuma na kutoa pesa zao kwa sababu ni hasara sana.

Mfanyabiashara/mjasiriamali anafanya biashara yenye faida ya 10% katika laki moja, akiuza mzigo wa laki moja anapata 10,000 kama faida. Anatakiwa kununua mzigo hivyo alipe kwa m-pesa, atatuma ile laki moja ili kuletewa mzigo wake, makato yanakuwa makubwa, hapo kuna gharama nyingine za uendeshaji bado hajalipia.

Ni hasara, japo imeleta ahueni kwenye kubadilisha fedha!!
 
Kwani hata yeye huyo uliyemtumia alitoa 100k kamili?
Kiufupi unapaswa umtumie na digits za kutolea ili anapokurudishia nae afanye hivyo, maana haiwezekani mfano umtumie mtu 100k kamili kama msaada then kama akiamia akurudishie mkononi akupe 100k ilihali alikatwa 5500/=
hata ukiweka na za kutolea na yeye akituma na za kutolea kitu ni hicho hicho nakutumia 105500 unanirudishia hiyo nikitoa nabakiwa na laki na sio laki na elf tano tena
 
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
Panda gari mpelekee mkono kwa mkono
 
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
Mkuu nadhani wewe ndio hujui watu wanalalamika balaa hususan baada ya hizi Tozo
 
Manufaa ya pesa ni kusaidia kuboresha maisha. Huo utumaji immediate utakuwa umesaidia kusolve problem fulani ambayo vinginevyo isingetatulika au ingechukua muda mrefu zaidi. Understood?
Kusaidia / kurahisisha jambo kuna endana na cost.., hizo Tozo hazipo equivalent na msaada unaotolewa..., hapo jamaa angeweza kumpa hata bodaboda pesa apeleke hizo pesa na aliyekopa arudishe kwa bodaboda bado with less cost..., Ukizingatia hizo cost sio za uendeshaji bali ni cost za double taxation....
Hata makato yangepanda mara mia ya kiwango cha sasa, ukweli ni kwamba wateja na watumiaji wangezidi kukwadrapo deile! Siyo kwamba hawajui, lakini manufaa ni makubwa kuliko the so-called ^hasara!^
Nadhani hauko in touch na current affairs since ongezeko la Tozo za Serikali Miamala imeshuka maradufu na watu kujaribu kufanya fraud kwa kutumia Lipa n.k. umefanya our Journey to Cashless Transactions to hit stagnation..., ulizia tu watoa huduma kama watumiaji wa hizi mobile money kama umeshuka au kuongeza na pia ulizia ni wangapi wamerudi kutumia Banks na ATMs
Ukiniambia kipato cha Watanzania (kwa ujumla) ndicho kidogo, nitakuelewa! But who cares?
Indeed kipato ni kidogo.., but who cares ? Most People do...., and not only Care but they are the ones in the Cooking Pot
 
Binafsi huwa nikimkopesha mtu namwambia kabisa ukinirudishia uweke na ya kutolea. Nikiona sio mwelewa ni bora nisimkopeshe kabisa.
 
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
Mimi siku hizi nikitaka tuma pesa kwa watu wengi naihamisha from visaau mastercard to safaricom mpesa kisha naanza tuma kwa wahusika. Ni bure hawakati hata kumi kutuma hiyo pesa. Sema nako kuna FX hivyo unaangalia kipi ni cheap kutegemea ni watu wangapi unawatumia na makato ni bei gani.
 
Back
Top Bottom