Miamala kwa njia ya simu inatufilisi bila kujua

Miamala kwa njia ya simu inatufilisi bila kujua

Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
Kama unalalamikia Kuhusu elfu 2 ni dhahiri umaskini ni ndugu yako.
 
Mkuu wewe Tuma tu..msaidie huyo mtu...akili yake itakavyomtuma arudishe...wewe mvumilie tu...
 
Hili swala la makato kuna mtu linamharibia kimyakimya ...
Huwez kutoa 27000 makato sh 1850 + tozo 672 jumla 2522.
Hamna shida mama anaupiga mwingi [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
no free lunch baharia everything costs
 
Kama ulikopeshwa kupitia simu uungwana Ni kurejesha na ya kutolea haijilishi huyo aliekutumia kama alituma na ya kutolea au lah.
 
Hili swala la makato kuna mtu linamharibia kimyakimya ...
Huwez kutoa 27000 makato sh 1850 + tozo 672 jumla 2522.
Hamna shida mama anaupiga mwingi [emoji122][emoji122][emoji122]
Tozo tuu mnalalamika hivyo wakati nchi jirani ya Kenya hapo kila kitu Kiko juu.

Hapo hapo mnasema seeikyinakopa Sana, serikali ikipokea misaada inalemaza sasa sijui hayo maendeleo mtayagharamiaje?

Hii Nchi ina watu wa ajabu ajabu Sana.😬😬😬
 
Kusaidiana ni njia mojawapo ya Kudumisha Upendo Baina yetu sisi na watu wengine ikiwemo ndugu zetu, jamaa na Marafiki.

Kukua na kuongezea kwa matumizi ya Huduma za Kifedha kwa njia ya simu imesaidia na kurahisisha kwa kiwango Kikubwa sana ndugu, jamaa na marafiki kutumiana fedha pindi inapotokea dharura.

Lakini katika Eneo hili kuna hasara tunazipata bila kujua Kabisa.Mfano mtu anakuomba umuazime laki moja Kesho atakurudishia unamtumia 100k kamili kwenye mtandao wako utakatwa si chini ya Elfu mbili kuituma hiyo laki moja, Kesho yake kweli atakurudishia kwa njia ile ile ya Simu 100k unaenda kutoa kwa wakala unakatwa 5,500 jumla unabaki na 95,500 na ile elfu mbili ya Kumtumia uliyokatwa unabaki na 92,500.

Sijui kama nimeeleweka yaani kwa kumsaidia mtu laki moja tu kwa njia ya simu unajiingizia hasara ya 7500. Kama hujaelewa turahisihe hivi Mtu anakuazima elf Kumi unamtumia 10k kesho naye anakurudishia 10k ukienda kutoka unakatwa buku nzima,unabaki na elfu Tisa.

Hii ni hasara kubwa sana tunaipata bila kujua.
Shee,lipa Kodi acha kulialia,inauma Ila nchi hunengwa na wananchi
 
Back
Top Bottom