Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sina hakika kama chairman atakosekana kwenye majina hayo. Ni aibu na inasikitisha sanaWakati ukuta, tuliwahi kusema na watu walisema MICHAEL CLIFFORD anaenda weka majina ya wote walioshiriki katika unyama wa Lissu,.
Kwakua tulizoea wafunga mdomo watanzania je tutaweza mfunga mdomo MICHAEL CLIFFORD?

