Michael Clifford ana uwezekano wa kuweka wazi majina ya wahusika wote ambao alifanya nao online conference ya kumpiga risasi Lissu

Michael Clifford ana uwezekano wa kuweka wazi majina ya wahusika wote ambao alifanya nao online conference ya kumpiga risasi Lissu

Pamoja na kukuacha kwa sababu huna thamani tena, lakini inanilazimu nikufahamishe wewe pia moja kwa moja, kwamba haya ya sasa ya utekaji na uuaji wa waTanzania yanayofanyika sasa hivi chini ya Samia; wakati utakapo wadia wa kuweka wazi wahusika wote wa uovu huu, jina lako halitakosekana kwenye orodha hiyo.

Jiandae tu, kisaikolojia kwa jambo hilo.
kwa Neema na Baraka za Mungu, nami nitakua miongoni mwa majina ya wateule watakao ingia paradiso kufurahi pamoja na mfalme wa kiti cha enzi mbinguni kwa Baba...

jina langu halitakuako kwingineko halitakuwepo kamwe gentleman, acha ushirikina :pedroP:
 
kwa Neema na Baraka za Mungu, nami nitakua miongoni mwa majina ya wateule watakao ingia paradiso kufurahi pamoja na mfalme wa kiti cha enzi mbinguni kwa Baba...

jina langu halitakuako kwingineko halitakuwepo kamwe gentleman, acha ushirikina :pedroP:
EEEeeenHEEEEeeee!

Sina wakati wa kuendelea kumpiga mijeledi punda ambaye ni mfu..., kwa hiyo endelea kwa raha zako hapa.
Huna thamani ya kuendelea kujihusisha nawe tena.
 
EEEeeenHEEEEeeee!

Sina wakati wa kuendelea kumpiga mijeledi punda ambaye ni mfu..., kwa hiyo endelea kwa raha zako hapa.
Huna thamani tena ya kuendelea kujihusisha nawe tena.
nani atababaika nawe sasa gentleman:pedroP:
nisubiri nimalize press confernce ya kidomodoma wa chadema kwanza :pulpTRAVOLTA:
 
Wakati ukuta, tuliwahi kusema na watu walisema MICHAEL CLIFFORD anaenda weka majina ya wote walioshiriki katika unyama wa Lissu,.
Kwakua tulizoea wafunga mdomo watanzania je tutaweza mfunga mdomo MICHAEL CLIFFORD?
Clifford ana kila kitu evidence yote anayo na wana sheria wake wana data zote.

Ni kachero wa zamani wa polisi ya UK.

Pia hili jambo nililiongelea kitambo sana nikifahamu kuwa ipo siku litatoka hadharani.

Pitia hapa: CCM ikishinda uchaguzi Serikali yake ifafanue kipengele kwa kipengele suala la Tundu Lissu kupigwa risasi
 
Akivujisha hizo taarifa huenda Mbowe akaenda jela
Kwamba kwa taarifa aliyoitoa huko Uingereza kwamba serikali ilihusika moja kwa moja na Tigo kumfukuza kazi bado Mbowe anahusika na jaribio la Mauaji ya Lissu na sio wahusika ambao Lisu anawataja moja kwa Moja akiwemo PCM? Naamini Lisu ana taarifa zote muhimu zinazohusu tukio zima la jaribio la Mauaji yake.
 
Wakati ukuta, tuliwahi kusema na watu walisema MICHAEL CLIFFORD anaenda weka majina ya wote walioshiriki katika unyama wa Lissu,.
Kwakua tulizoea wafunga mdomo watanzania je tutaweza mfunga mdomo MICHAEL CLIFFORD?
Mtoto pendwa Chuga, TUMBO JOTO...hii issue ya Lissu itaendelea kumchafua bibi Chura Kiziwi..angejiweka nayo kando kwa kuruhusu UCHUNGUZI HURU + kuruhusu taratibu za KISHERIA zifuate
Mbina mnamuhusisha mama wa watu wakati hausiki?
Ni kweli hausiki,ila sasa ili jamii iendelee kutomuhusisha aruhusu UCHUNGUZI huru li isijetokea Mbunge mwingine kupigwa risasi..

Ni lazima hatua madhubuti zichukuliwe..na kwa kuanzia ni UCHUNGUZI HURU
Ndio nasema ili jamii ya Watanganyika isiendelee kumuhusisha ,aruhusu UCHUNGUZI HURU..kinyume na hapo na yeye yumoo!
Kitendo cha Serikali kutokufanya Uchunguzi wa kijinai kuhusu suala hili, au kukataa kuruhusu ufanyike uchunguzi huru ni Uthibitisho wa Wazi kabisa kwamba tukio hilo lilikuwa ni Uhalifu wa kupanga. Aidha, hali hii pia inathibitisha kwamba mpango wa utekelezaji wa tukio hilo ulipata kibali/idhini kutoka kwa 'Sponsa' wa tukio hilo.
Kinyume chake, endapo kama tukio hilo lingekuwa ni Uhalifu wa kawaida basi mpaka Sasa Watu waliohusika na utekelezaji wa tukio hilo wangekuwa tayari wamechukuliwa hatua za kisheria kwa kufikishwa Mahakamani.
 
Back
Top Bottom