Michael Clifford ana uwezekano wa kuweka wazi majina ya wahusika wote ambao alifanya nao online conference ya kumpiga risasi Lissu

Michael Clifford ana uwezekano wa kuweka wazi majina ya wahusika wote ambao alifanya nao online conference ya kumpiga risasi Lissu

Mimi wasiwasi ni kwamba wazungu siku zote husimama upande ambao wao wana maslahi hivyo sitashangaa hii kesi isiende poa maana inaweza kugusa hadi huu utawala na bi mkubwa atafanya jambo ili asinuke.
 
Su
 

Attachments

  • 1727316022114.jpg
    1727316022114.jpg
    91.3 KB · Views: 3
  • 1727315772187.jpg
    1727315772187.jpg
    190.6 KB · Views: 2
Clifford ni X Scotland yard, good chance ni jasusi lililobobea, ndio ujue CIA na majasusi ndio wamejaa kwenye hizo international agencies and corporations , na wanajua yanayoendelea Tanzania kuliko TISS, Kwa mtu kama Makonda mpaka wampige ban official pamoja na mke wake ina maana wana Kila kitu chake solid bila chenga, hii kesi ikipiga moto vizuri sitashangaa US wakatoa ushahidi kuhusu Makonda, mama atakaa kimya Hana Cha kupoteza Kwa kutowalinda watuhumiwa ataachia process ifanye kazi yake na ana uchaguzi mgumu unakuja, Kila mtu atajitetea mwenyewe
 
Baada ya mabeberu kutamkiwa shit, wakaamua kesi ya Michael Clifford iendelee na awataje wahusika. Hapa ndipo Mama ataenda wapigia magoti mabeberu na hii issue wataenda imaliza nje ya mahakama.

Nawahakikishia hii issue ni sabotage tu, haitofika kule watanzania tunapenda.

Lissu nae ataenda lipwa madai yake, na maisha yataendelea.
 
Mtoto pendwa Chuga, TUMBO JOTO...hii issue ya Lissu itaendelea kumchafua bibi Chura Kiziwi..angejiweka nayo kando kwa kuruhusu UCHUNGUZI HURU + kuruhusu taratibu za KISHERIA zifuate
Bibi hawezi kujiepusha ilihali alishasema mabalozi na nchi wahisani wasimpangie cha kufanya pale walipolaani mauwaji na utekaji na kutaka uchunguzi ufanyike.
 
Back
Top Bottom