Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Nina Imani kamapuni itaendelea kuwepo,
Maana wamatumbi akifa mmiliki na kampuni lazima ipate misuko misuko.
RIP
Maana wamatumbi akifa mmiliki na kampuni lazima ipate misuko misuko.
RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Classmate wa nyoko labdaR.I.P classmate
Nimeumia sana
Dah !Alishafariki kabla yake. Cancer
Oyaaaaa..Mkewe yupo hai au alikufa kabla yake?
At the age of 80, amekuĺa neema ya nchi ipasavyo. Maradufu ya roho yake ikawe kwangu.View attachment 2652129
Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi zitakufikia
Pole kwa familia kuondokewa na mpendwa wao.View attachment 2652129
Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi zitakufikia
Hahaha wewe mgogo mwenzangu una vituko sana.Mbona uso wake kama wa lyatonga mrema una shida hivi. Ebu huna picha nyingine lakini nimegundua wachaga kwenye hii nchi ni Matajiri sana tofauti na wagogo
Oooh My God, legendary has gone, R.I.P Michael Shirima, you lived well your life, kwa wale tunaomjua kiundani, alikuwa mtu wa watu, Mungu mpokee mzee wetu huyu na muweke salama peponi, amen
Taratibu Mwalimu. Inawezekana alichokiandika ni swahihi.Classmate wa nyoko labda
Nini tena mkuu Mad Max? Halafu nitaku check PM baadaye!.Oyaaaaa..
Aaaah unaji underrate bhana!.[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona uso wake kama wa lyatonga mrema una shida hivi. Ebu huna picha nyingine lakini nimegundua wachaga kwenye hii nchi ni Matajiri sana tofauti na wagogo