Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Huyu jamaa kila pedeshee kasoma naye[emoji23]Classmate wa nyoko labda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa kila pedeshee kasoma naye[emoji23]Classmate wa nyoko labda
Sad news, pole kwa WA-ROMBO wote, wana kilimanjaro, familia ya SHIRIMA na mwanae MIKE SHIRIMA MAWALA na familia ya kina OBREY MAWALLA.View attachment 2652129
Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam
Taarifa zaidi zitakufikia
Ondoa hiyo "na" katika sentensi yakoInnalillah wainna ilayh rajiuun
Akili kubwa zinaondoka tunabaki na vilaza
Huyu anayeandika awe na miaka zaidi ya sabini vinginevyo ni liongoTaratibu Mwalimu. Inawezekana alichokiandika ni swahihi.
Mkuu,Anyway.RIP Sir,Mwafrika wa kwanza kuanzisha Private Airline DunianiSAd news, pole kwa WA-ROMBO wote, wana kilimanjaro, familia ya SHIRIMA na mwanae MIKE SHIRIMA MAWALA na familia ya kina OBREY MAWALLA.
Mtoto wake ndiye alikuwa msaidizi wake, Shirima ni m'miliki CRDB kwa hisa nyingi sana, wachagga wanatuacha sisi WAGOGO tukikumbatia li-CHAMA lisilo na huruma zaidi ya kutuuza kwa wakoloni wetu wa zamani.Wachaga mungu awabariki kwa Kweli 🙏
Kuna kijana wake mmoja alikuwa mtu ngumu sana tulikuwa tunakaa jirani Bagamoyo, mzee alimnunulia trekta jipya akawa anampiga kazi ya kulima mashamba sijui yuko wapi siku hiziSAd news, pole kwa WA-ROMBO wote, wana kilimanjaro, familia ya SHIRIMA na mwanae MIKE SHIRIMA MAWALA na familia ya kina OBREY MAWALLA.
HehehMtu wa 1943 ni classmate wako na bado una uwezo wa ku type humu? Kweli kuna watumna bahati zenu na maisha !!!
Akina MbarawaInnalillah wainna ilayh rajiuun
Akili kubwa zinaondoka tunabaki na vilaza
200% trueInnalillah wainna ilayh rajiuun
Akili kubwa zinaondoka tunabaki na vilaza
Classmate sio lazima primary au sekondary. Hata kwenye mafunzo maalum ambayo kijana wa kampuni A anaweza kutana na mzee wa kampuni B wote wakiwa wanafunzi kwa muda fulani. Ukumbuke pia Kuna watu wanasoma Phd wakiwa na 30's na wengine 60's.
Hwa watu smart wengi haswa ngozi nyeusi wanakufa waliobaki hata watoto wao sidhani kama wataweza kumaintain biashara kama baba zao...Naona Mengi miaka kadhaa ile nafasi ya 4 pale wakipiga hesabu anashuka sioni juhudi za wanae .200% true
Kizazi hichi cha punyeto + simba na yanga hamna kitu