TANZIA Michael Ngaleku Shirima mmiliki wa Precision Air afariki dunia

View attachment 2652129

Mmiliki wa Shirika la Ndege Nchini Tanzania la Precision Air, Michael Ngaleku Shirima, ameaga dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AgaKhan, Jijini Dar es Salaam

Taarifa zaidi zitakufikia
At the age of 80, amekuĺa neema ya nchi ipasavyo. Maradufu ya roho yake ikawe kwangu.
Buriani Ninja wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…