INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Nipe elimu ya kilimo cha malimao kwa ekari 1...Miche mingapi? Nitavuna baada ya muda gani? Investiment cost?
Boss wangu naomba urejee comment yangu ya 445.
Citruszote(Chungwa,limao,ndimu,chenza,balungi) space na idadi ya miche kwa eka haitofautiani boss wangu.
 
Uzi mzuri Sana
Kazi nzuri mno.
Mungu akubariki..keep it up.
Asante sana kwa kunitia moyo,kupata sms ya aina hii na vile imejaa makopa kopa inanitia nguvu sana😍
 
Nipe elimu ya kilimo cha malimao kwa ekari 1...Miche mingapi? Nitavuna baada ya muda gani? Investiment cost?
limao na ndimu utaanza kuvuna baada ya mwaka mmoja na nusu mpaka miaka miwili.
Karibu
 
limao na ndimu utaanza kuvuna baada ya mwaka mmoja na nusu mpaka miaka miwili.
Karibu

Kuna mchungwa niliupanda waliniambia ni wa miaka mi3 lakini mpaka sasa una miaka minne hakuna hata ua na unaoenkana ni kama mlimao au mdimu.
 
Screenshot_2021-01-25-12-39-10.jpg
Mkuu nimejaribu kuweka alama ili iwe rahisi kukuelekeza.
Hiyo nylon unapaswa kuitoa wiki moja tangu unapopanda mche wako
Pia hayo majani yote yanayoota kuanzia hapo kwenye nylon kushuka chini inabidi uyatoe kila yanapoota

ANGALIZO: wakati unatoa hakikisha usichubue mche(shina).Sababu unaweza kusababisha kidonda kwenye mche,toa majani kwa uangalifu.

mche wetu umefanyiwa grafting,tukiwa na maana kuwa Kuna muunganiko wa mche wa asili/mama(chini) na mche wa kigeni(juu),
Hivyo,"mama" ataendelea kupeleka mahitaji kwa watoto wake(majani) kutoka ardhini,Hii itasababisha mche wa kigeni ukose mahitaji (chakula na maji).

Hii itasababisha mche kushindwa kutoa maua na matunda kwa wakati uliotarajiwa,Mfano ni huo mche wako
King Kong III
 
Sababu nyingine
Wakati wa kufukia mche hupaswi kufukia mche wako kupitiliza level ya udongo ulio kwenye kiriba.Udongo wa ardhi unaweza kuwa na wadudu hivyo ukaadhiri mche wako endapo utafukia mche kupitiliza level ya udongo.

Pia shina la mche bado ni changa,halijazoea changamoto za ardhini,kitendo cha kufukia mpaka kupitiliza udongo wa kwenye kiriba,unaweza kudumaza mche wako.
King Kong III
 
View attachment 1685741Mkuu nimejaribu kuweka alama ili iwe rahisi kukuelekeza.
Hiyo nylon unapaswa kuitoa wiki moja tangu unapopanda mche wako
Pia hayo majani yote yanayoota kuanzia hapo kwenye nylon kushuka chini inabidi uyatoe kila yanapoota

ANGALIZO: wakati unatoa hakikisha usichubue mche(shina).Sababu unaweza kusababisha kidonda kwenye mche,toa majani kwa uangalifu.

mche wetu umefanyiwa grafting,tukiwa na maana kuwa Kuna muunganiko wa mche wa asili/mama(chini) na mche wa kigeni(juu),
Hivyo,"mama" ataendelea kupeleka mahitaji kwa watoto wake(majani) kutoka ardhini,Hii itasababisha mche wa kigeni ukose mahitaji (chakula na maji).

Hii itasababisha mche kushindwa kutoa maua na matunda kwa wakati uliotarajiwa,Mfano ni huo mche wako
King Kong III
Hii unafanya hata kwa miche ya parachichi na miembe kutoa hulo nylon?
 
Hii unafanya hata kwa miche ya parachichi na miembe kutoa hulo nylon?
Hii unafanya hata kwa miche ya parachichi na miembe kutoa hulo nylon?
ndio boss,miche yote iliyofanyiwa grafting lazima utoe nylon,usipofanya hivyo mche wa kigeni utakosa mahitaji yake muhimu,lakini pia usipotoa nylon itazama ndani ya shina kadri mche unavyozidi kukua na kuongezeka ,hivyo utaadhiri mche/mti
 
Nylon inapaswa kuitoa baada ya wiki moja baada ya kuotesha mche,Je ulifanya hivyo?

Je ulikumbuka kutoa majani yote yanayoota kuanzia sehemu yenye nylon kushuka chini?

Kuna kitu kikubwa nimejifunza hapa, niliwahi kununua miche sua lakini muuzani hakuniambia nifanye hivyo!
 
Kuna kitu kikubwa nimejifunza hapa, niliwahi kununua miche sua lakini muuzani hakuniambia nifanye hivyo!
pole mkuu.Muuzaji alipaswa kukupa huu muongozo baada ya kununua miche.
Ina umri gani kwasasa?
 
Karibu tukuchimbie kisima kwa mashine ili ufanye kilimo cha kisasa bila hasara.
Kwa mawasiliano piga 0687276767
IMG_20200804_145542.jpg
 

Attachments

  • IMG_20200804_092531-1.jpg
    IMG_20200804_092531-1.jpg
    73.7 KB · Views: 8
Back
Top Bottom