Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaposema ya Kisasa ni GMO au unamaanisha nini kwenye usasa?Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.
Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.
View attachment 1557232
View attachment 1557234
View attachment 1557237
View attachment 1557239
View attachment 1557240
View attachment 1557242
View attachment 1557243
View attachment 1557244
View attachment 1557246
View attachment 1557247
View attachment 1557248
View attachment 1557249
View attachment 1557250
View attachment 1557251
miche ya ndimu napata..vipi inachukua muda gani kuvuna ndimu nikipanda mche leoBila kusahau kuanzia mwezi Jan 2025 tutaanza kuuza miche ya Almond pamoja na Zaituni(inayotumika kutengeneza mafuta)
karibu boss
aisee hamna mkono wa mtu hapo kweliThanks...Mimi nilipanda muembe wa budding ,una miaka 7 mpaka sasa lakini hauna matunda sijui tatizo ni nini ,unatoa maua then yanadondoka yote.
Pole boss.Makosa bila shaka yalianza kwenye namna ya kuupanda huo mche boss.Miche iliyofanyiwa budding upandaji wake ni tofauti na miche ya kienyeji.Thanks...Mimi nilipanda muembe wa budding ,una miaka 7 mpaka sasa lakini hauna matunda sijui tatizo ni nini ,unatoa maua then yanadondoka y
1.KivuliThanks...Mimi nilipanda muembe wa budding ,una miaka 7 mpaka sasa lakini hauna matunda sijui tatizo ni nini ,unatoa maua then yanadondoka yote.
Miche ipo bossmiche ya ndimu napata..vipi inachukua muda gani kuvuna ndimu nikipanda mche leo
nampango kuzungusha boma langu mindimu kadhaa
Kuna variety moja ya embe, nimeisahau jina, maembe yake nimatamu hata ukila mabichi, unaijua? Unayo?Kuna wale waliahidi kunitafuta mvua itakapo anza kunyesha,simu ziite sasa