Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,198
- 4,191
- Thread starter
- #1,421
Kwa wale wateja ambao walitamani kuniona au wanatamani kuniona (face to face) kwenye vitalu vyetu pindi wanapokuja kupata huduma na kwa namna moja au nyingine hatukuwahi kuonana,msijali next time mtanionaš¤.
Na muwe comfortable kuhudumiwa na yoyote mtakae mkuta Kwa wakati huo.
Na muwe comfortable kuhudumiwa na yoyote mtakae mkuta Kwa wakati huo.