Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina, Songa Mbele✊🏿Asante Sana mkuu.
Ujumbe wako umenipa nguvu na udhubutu zaidi,barikiwa
Kama hizi picha sio za ku google hongera sanaHabari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.
Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.
View attachment 1557232
View attachment 1557234
View attachment 1557237
View attachment 1557239
View attachment 1557240
View attachment 1557242
View attachment 1557243
View attachment 1557244
View attachment 1557246
View attachment 1557247
View attachment 1557248
View attachment 1557249
View attachment 1557250
View attachment 1557251
Kaka hiyo minazi yenu inachukua miaka mingapi kuzaa matunda?Nishachukuwa namba zako tayari vizuri ni kwamba mwezi ujao nna matarajio ya kuja Morogoro lengo kuu ni kuwekeza kwenye ardhi hasa Mashamba so sitotaka yakae bure i hope itanisaidia katika ushauri wa kilimo na mambo mengine
I got answe for my questionMbegu ya pemba ipo, Hii unavuna baada ya miaka 3. Lakini pia ipo Africantall, unaanza kuvuna baada ya miaka 8