INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Miche ya miti ya mbao Aina ya Cedrela na Tectona inapatikana
Kwa bei ya punguzo sh 500/=
 
Karibu kuna punguzo la bei ya mbao Aina ya teak na Cedrela, badala ya 1000 sasa ni 500
 
Tunawapenda Sana wateja wetu,asante Kwa kuendelea kutuamini
 
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.

Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.

Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.

View attachment 1557232

View attachment 1557234

View attachment 1557237

View attachment 1557239

View attachment 1557240

View attachment 1557242

View attachment 1557243

View attachment 1557244

View attachment 1557246

View attachment 1557247

View attachment 1557248

View attachment 1557249

View attachment 1557250

View attachment 1557251
Kama hizi picha sio za ku google hongera sana
 
Nishachukuwa namba zako tayari vizuri ni kwamba mwezi ujao nna matarajio ya kuja Morogoro lengo kuu ni kuwekeza kwenye ardhi hasa Mashamba so sitotaka yakae bure i hope itanisaidia katika ushauri wa kilimo na mambo mengine
Kaka hiyo minazi yenu inachukua miaka mingapi kuzaa matunda?
 
Back
Top Bottom