INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Mi nahitaji kitabu cha passion fruits za njano, na hasa kiwe na maelezo tosha sana kuhusu chamgamoto za passion mf. Prunning, maua kuanza halafu hayaendelei kutoa matunda yanaanguka, spacing ya mche hadi mche, na viwatilifu gani vinahusuka kils hatua.
Kama kipo tuyajenge mtalaam.
 
Mkuu strawberry Kwa Hali ya hewa ya dsm inastawi vizuri?
boss strawberry hustawi vizuri kwenye mikoa ambayo ina joto la wastani,kama Morogoro,Arusha, Kilimanjaro,Mbeya n.k

Mikoa ya pwani pia hustawi vizuri kama ukipanda kwenye greenhouse chini ya uangalizi maalumu.
 
Je, kitalu bado kipo?

Mi nahitaji kitabu cha passion fruits za njano, na hasa kiwe na maelezo tosha sana kuhusu chamgamoto za passion mf. Prunning, maua kuanza halafu hayaendelei kutoa matunda yanaanguka, spacing ya mche hadi mche, na viwatilifu gani vinahusuka kils hatua.
Kama kipo tuyajenge mtalaam.
hicho kitabu sina boss wangu.
Ila hizo taarifa na nyinginezo kuhusu kilimo cha passion unaweza kuzipata Google.

Lakini pia Kwa sehemu na Mimi naweza ku-share na wewe yale machache ninayofahamu kuhusu kilimo hicho.

Karibu
 
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.

Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.

Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.

View attachment 1557232

View attachment 1557234

View attachment 1557237

View attachment 1557239

View attachment 1557240

View attachment 1557242

View attachment 1557243

View attachment 1557244

View attachment 1557246

View attachment 1557247

View attachment 1557248

View attachment 1557249

View attachment 1557250

View attachment 1557251
Starfruit ni nini
 
hicho kitabu sina boss wangu.
Ila hizo taarifa na nyinginezo kuhusu kilimo cha passion unaweza kuzipata Google.

Lakini pia Kwa sehemu na Mimi naweza ku-share na wewe yale machache ninayofahamu kuhusu kilimo hicho.

Karibu
Ahsante sana hata kwa kuipa uzito changamoto yangu na kuifanyia kazi. Uko makini sana na kazi yako Mkuu. Kwa kweli nimefurahi ku connect na mtu kama wewe.

Huko google na youtube utakuta wafilipino na wengine wana mazingira tofauti sana ya kilimo. Wakenya ni sawa ila kujieleza, sababu utakuta wengi wanajikita kwenye mbolea, viwatilifu bajeti ya mradi faida n.k.

Changamoto kubwa ya passion ni hapo maua kuanguka ku (abort). Mengine ni kama matunda mengine.
 
Starfruit ni nini
Ni tunda ambalo Kwa Kiswahili kisicho rasmi linaitwa "Mbilimbi za kizungu"

Likiwa bichi lina rangi ya kijana likiiva lina rangi ya njano.

Huwa na harufu nzuri na sukari pia.
Unaweza Kula hivyo hivyo au hutumika kutengenezea juice
 
Ni tunda ambalo Kwa Kiswahili kisicho rasmi linaitwa "Mbilimbi za kizungu"

Likiwa bichi lina rangi ya kijana likiiva lina rangi ya njano.

Huwa na harufu nzuri na sukari pia.
Unaweza Kula hivyo hivyo au hutumika kutengenezea juice
Asante, picha yake tafadhali
 
Ahsante sana hata kwa kuipa uzito changamoto yangu na kuifanyia kazi. Uko makini sana na kazi yako Mkuu. Kwa kweli nimefurahi ku connect na mtu kama wewe.

Huko google na youtube utakuta wafilipino na wengine wana mazingira tofauti sana ya kilimo. Wakenya ni sawa ila kujieleza, sababu utakuta wengi wanajikita kwenye mbolea, viwatilifu bajeti ya mradi faida n.k.

Changamoto kubwa ya passion ni hapo maua kuanguka ku (abort). Mengine ni kama matunda mengine.
Asante boss Kwa kuni-appreciate, comments kama hizi zinanipa nguvu zaidi.

Ni kweli passion huwa zinaangusha majani Sana,lakini changamoto hii huwa na sababu kadhaa nyuma yake.

Karibu muda na wakati mwingine,nitafurahi kukuhudumia.
 
Ni tunda ambalo Kwa Kiswahili kisicho rasmi linaitwa "Mbilimbi za kizungu"

Likiwa bichi lina rangi ya kijana likiiva lina rangi ya njano.

Huwa na harufu nzuri na sukari pia.
Unaweza Kula hivyo hivyo au hutumika kutengenezea juice
star fruit huwa naskia ni tamu sanaa, sema sjawah yaona apa daslam, huwa linachkua muda gan mpk kula matunda?
Dar linaeza kubali?
 
Most welcome dear customers
0719527062(WhatsApp)
0757056472
 
ndio boss,miche yote iliyofanyiwa grafting lazima utoe nylon,usipofanya hivyo mche wa kigeni utakosa mahitaji yake muhimu,lakini pia usipotoa nylon itazama ndani ya shina kadri mche unavyozidi kukua na kuongezeka ,hivyo utaadhiri mche/mti
OK sasa vp kwa ile miche inayowekewa chupa za maji za plastiki
 
dear customers asanteni kwa kuendelea kutuamini
You are amazing ☺️.
 
Back
Top Bottom