INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

20210707_204746.jpg

Makadamia nuts(golden nuts)
 
Singida naipataje
Nipe utaratibu mkuu
Tunatuma pacels za miche mikoa yote kwa kutumia mabasi boss.

Utaratibu ni huu:
Baada ya mteja kunitumia idadi na aina ya miche anayohitaji,nitamtumia jumla ya gharama anazopaswa kulipa ikiwa na pamoja na gharama za usafiri kwa mkoa husika.

Gharama za usafiri zinatofautiana mkoa mmoja na mwingine kulingana na umbali kutoka Morogoro(SUA).Na gharama ni kwa kila pacel moja yenye miche isiyozidi 50.
Mteja atafanya malipo kwa kupitia namba za simu au Bank ac.
Baada ya malipo,atatuma majina na namba za simu za mtu atakae pokea pacels.
Pacel itaandaliwa kisha mteja atatumiwa picha ya pacel yake ikiwa na majina,namba na mahali inapoelekea.

Pacel ikishapakiwa kwenye basi,mteja atatumiwa Tiket number,plate number ya basi,jina la basi,number ya kondakta/dereva.
Mimi,mteja na kondakta tutaendelea kuwasiliana mpaka mteja atakapopokea pacel yake.
 
Habari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.

Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.

Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.View attachment 1557232
kuanzia miche mingapi mnatuma?
 
inastawi dodoma?
Cocoa inastawi ukanda wa joto na ukanda wa baridi pia.
tofauti ni hii,cocoa ya ukanda wa baridi inachelewa kuiva ila ina kuwa na matunda mengi,cocoa ya ukanda wa joto inawahi kuiva ila matunda machache.
karibu boss
 
0719527062/0757056472
karibuni niwahudumie wakuu
 
Back
Top Bottom