Michuano ipi ya World Cup ilikuwa bora sana kuitazama?

Michuano ipi ya World Cup ilikuwa bora sana kuitazama?

World cup bora kuliko zote ni ya 2002 na 2014

2006 , 2010 na 2018 ulikuwa utumbo tu
Mimi mpaka leo naamini World Cup bora kuiona ni ile ya mwaka 2006. Jinsi Italy walivyopambana mpaka kutwaa taji. Italy ile iliyoundwa na wakongwe kama Luca Toni, Buffon, Pirlo, Materazzi, Del Piero, Canavarro, Zambrotta, Camoranesi na wengineo.

Italy njia aliyopitia mpaka kutwaa ubingwa ilikuwa ngumu sana. Mechi kama ya Nusu Fainali dhidi ya wenyeji Ujerumani ni ya kukumbukwa muda wote.

Pia kuna mechi za kukumbukwa kama robo fainali ya Argentina Vs Ujerumani ambao Argentina aliongoza muda mwingi wa mchezo, kocha wa Argentina alikuja kufanya mistake ya kumtoa Requelme jambo ambalo lilipelekea kuwarudisha mchezoni Ujerumani.

Halafu kuna mechi inajulikana kama Battke of Nuremberg, kati ya Uholanzi Vs Ureno ambapo jumla ya kadi za njano 16 na nyekundu 4 zilitoka.

Hayo ni kwa uchache tu, yote kwa yote World Cup ya 2006 ilikuwa bora sana kwa upande wangu.

Wewe unaikubali ipi na kwanini?
 
Huyo kaongea kufurahisha jukwaa tu ili aonekane anajua kumbe hamna lolote.
Sammy Khedira alipata nafasi baada ya Michel Ballack kuumia ndipo akapata nafasi ya kucheza World cup 2010 south Africa.
Kuweka rekodi sawa...

Ozil, Khedira wameanza kucheza timu ya Tiafa ya Ujerumani mwaka 2009 na World Cup yao ya kwanza ni 2010 pale South Africa.

Marchisio 2006 hakuwepo kikosini wakati Italy ikitwaa Ubingwa wa Dunia na Kepteni wa Italy alikuwa Fabio Cannavaro na wala sio Gigi Buffon.
 
Acha uongo.

Nimeangalia fainal za kombe la dunia miaka.
1. 1990 Italy
2. 1994 marekani
3. 1998 france
4. 2002 korea na japan
5. 2006 german
6. 2010 SA
7. 2014 Brazil
8 . 2018 russia.

Kati fainal bora ni zile za 2006 pale ujerumani. Mechi bora za wakati wate kwangu ni nusu fainali kati ya German na italia. Italia wakibuka washindi kwa mabao ya Vicenzo Ianquita na mkonge Del Piero.

Ujerumani ikiwa na kikosi cha vijana wadogo kabisa. Meaut Ozil, Sammy Khadera ect.

Itali chini ya kocha Marcelo Lippi na wakongwe, Del Piero, Zambrotta, maestro Pillo, Alesandro Nesta, Fabio Canavaro na beki mtukutu Materatzzi.

Wengine ni Fabio Groso, Luca Toni, Claudio Marchsio na mzee mzima Genarro Gatuso. Captain gigi Buffoni akisimama katikati ya stick.

Hizo ni fainali zangu bora kuona.
 
World cup 1986 final W.Germany vs Argentina ndani ya Mexico kwenye dimba la Estadio Azteca 29 june 1986

Argentina chini ya captain Diego Armando Maradona,
zikiwa zimebaki dakika 17 mchezo uishe,Argentina alikua anaongoza kwa goli 2-0 magoli yaliyofungwa na Jose luis Brown na Jorge valdano,

West German wakadroo 2-2 magoli yakifungwa na Karl-Heinz Rummenigge na Rudi Voller Mechi aliimaliza Burruchaga kwa shuti kali umbali wa 50 yards kutoka kwenye goli la wajerumani,Game likaisha kwa Argentina kunyanyua kwapa wakiongozwa na Captain Diego maradona.
 
Acha uongo
Nimeangalia fainal za kombe la dunia miaka.
1. 1990 Italy
2. 1994 marekani
3. 1998 france
4. 2002 korea na japan
5. 2006 german
6. 2010 SA
7. 2014 Brazil
8 . 2018 russia.

Kati fainal bora ni zile za 2006 pale ujerumani. Mechi bora za wakati wate kwangu ni nusu fainali kati ya German na italia. Italia wakibuka washindi kwa mabao ya Vicenzo Ianquita na mkonge Del Piero.

Ujerumani ikiwa na kikosi cha vijana wadogo kabisa. Meaut Ozil, Sammy Khadera ect.

Itali chini ya kocha Marcelo Lippi na wakongwe, Del Piero, Zambrotta, maestro Pillo, Alesandro Nesta, Fabio Canavaro na beki mtukutu Materatzzi.

Wengine ni Fabio Groso, Luca Toni, Claudio Marchsio na mzee mzima Genarro Gatuso. Captain gigi Buffoni akisimama katikati ya stick.

Hizo ni fainali zangu bora kuona.
 
1998 aisee,wachezaji wengi sana walionyesha viwango,kina davo Suka,Mari selo salali,mwanko kanu,zizu ,Luis Figo,Devi's bekhamp,Patric cruvet,n.k
Hakika hii ilikuwa final bora kabisa nakumbuka nilikuwa naendesha baskel kwenda kungalia km kama 20 hivi nalala huko huko narudi asubuhi maana game zilikuwa zinaoigwa usiku sana
 
Hakika hii ilikuwa final bora kabisa nakumbuka nilikuwa naendesha baskel kwenda kungalia km kama 20 hivi nalala huko huko narudi asubuhi maana game zilikuwa zinaoigwa usiku sana
Aisee km 20 kwa baiskeli sio jambo jepesi, kongole sana mkuu
 
Naikubali ya mwaka 2002. Brazil akichukua kombe akiwa na Triple R,,,Ronaldo,,Ronadihno,,,Rivaldo ,,germanya wakiwa na kipa wao Oliver kahn wakisema ana mikona elfu moja..
Kuna yule jamaa wa Brazil alikuwa akiingia anapiga sana chenga, mnamkumbuka?
 
Nimeangalia fainal za kombe la dunia miaka.
1. 1990 Italy
2. 1994 marekani
3. 1998 france
4. 2002 korea na japan
5. 2006 german
6. 2010 SA
7. 2014 Brazil
8 . 2018 russia.

Kati fainal bora ni zile za 2006 pale ujerumani. Mechi bora za wakati wate kwangu ni nusu fainali kati ya German na italia. Italia wakibuka washindi kwa mabao ya Vicenzo Ianquita na mkonge Del Piero.

Ujerumani ikiwa na kikosi cha vijana wadogo kabisa. Meaut Ozil, Sammy Khadera ect.

Itali chini ya kocha Marcelo Lippi na wakongwe, Del Piero, Zambrotta, maestro Pillo, Alesandro Nesta, Fabio Canavaro na beki mtukutu Materatzzi.

Wengine ni Fabio Groso, Luca Toni, Claudio Marchsio na mzee mzima Genarro Gatuso. Captain gigi Buffoni akisimama katikati ya stick.

Hizo ni fainali zangu bora kuona.
Lile goli alilofunga FABIO GROSSO Extra time lilikuwa kali sana.
 
Mimi mpaka leo naamini World Cup bora kuiona ni ile ya mwaka 2006. Jinsi Italy walivyopambana mpaka kutwaa taji. Italy ile iliyoundwa na wakongwe kama Luca Toni, Buffon, Pirlo, Materazzi, Del Piero, Canavarro, Zambrotta, Camoranesi na wengineo.

Italy njia aliyopitia mpaka kutwaa ubingwa ilikuwa ngumu sana. Mechi kama ya Nusu Fainali dhidi ya wenyeji Ujerumani ni ya kukumbukwa muda wote.

Pia kuna mechi za kukumbukwa kama robo fainali ya Argentina Vs Ujerumani ambao Argentina aliongoza muda mwingi wa mchezo, kocha wa Argentina alikuja kufanya mistake ya kumtoa Requelme jambo ambalo lilipelekea kuwarudisha mchezoni Ujerumani.

Halafu kuna mechi inajulikana kama Battke of Nuremberg, kati ya Uholanzi Vs Ureno ambapo jumla ya kadi za njano 16 na nyekundu 4 zilitoka.

Hayo ni kwa uchache tu, yote kwa yote World Cup ya 2006 ilikuwa bora sana kwa upande wangu.

Wewe unaikubali ipi na kwanini?
Jamani kusema kweli WC zote ukiacha ya 2018 zilikuwa tamu sana na ni ngumu kusema ipi ilikuwa tamu kuliko nyingine. Mimi ntajaribu kuzipanga kwa ukali wake japo ni kazi ngumu sana.

1. USA 1994
2. JAPAN/SK 2002
3. GERMANY 2006
4. FRANCE 1998
5. ITALY 1990
6. SA 2010
7. BRAZIL 2014
 
2010 SA ilikuwa Best of all the time...!! Hakuna Mashindano yaliyosikika na kuhit kama yalee hata nyimbo zake hadi leo zimebaki historia...waka waka waka eeheee...its time for Africa...this is africa[emoji95][emoji95][emoji95][emoji95]
kUNA NGOMA 1998 ILE.....GO...GO..GOOOOO .....ALE ...ALE ALEEEEEEEE
 
Back
Top Bottom