Mzee Wa Jambo
Member
- Aug 28, 2023
- 43
- 58
Bongo ukiwa na stress umetaka mwenyeweIla wabongo banaπππ
π€£π€£π€£
Kumbe humu kuna wadukuzi wa IDKuna id nilikuwa natumia nakuja kushangaa kuna mtu anaitumia sijui ilipata wapi password... Saiv nimeweka password ngumu mpaka mfumo inalalamika...
Uongo bhanaa!πKuna id nilikuwa natumia nakuja kushangaa kuna mtu anaitumia sijui alipata wapi password... Saiv nimeweka password ngumu mpaka mfumo unalalamika...
Wakati mwingine teknolojia ni mtego, inaweza sababisha ushindwe kufanya shughuli za maana pale inapokuwa na hitilafuMagumu ya teknolojia, sasa hapo maisha yamerahisishwa au kinyume chake?
Mada ndio ilitakiwa ipelekwe hiviMagumu ya teknolojia, sasa hapo maisha yamerahisishwa au kinyume chake?
Madam kiu imekuwa kali na swez kunywa maji ya 600/= kwa mangiIla we jamaaππππ
SawaπMadam kiu imekuwa kali na swez kunywa maji ya 600/= kwa mangi
Mkuu kweli kuna teknolojia zingine zinarudisha nyuma badala ya kuleta Msaada kwa watumiajiMada ndio ilitakiwa ipelekwe hivi
Fikiria sasa ulaya wanaziogopa Gari za umeme za china wanahofu vitu kama hiviMkuu kweli kuna teknolojia zingine zinarudisha nyuma badala ya kuleta Msaada kwa watumiaji
Mkuu sio gari tu, hata Digital ID nayo haitokuwa salama, pamoja na Digital Currency, wakiamua kuzima mfumo basi hakuna kukunua wala kuuza, hakuna kusafiri wala kulipa service yoyoteFikiria sasa ulaya wanaziogopa Gari za umeme za china wanahofu vitu kama hivi
China anaweza kuzizima zote akiaamua
Angalia movie inaaitwa Leave the World Behind
Fridge la kimataifa"oneni nina li fridge kubwa"
Kuna wakati walisema ipo siku kila kitu kitakuwa ni computerized sasa imagine traffic light zizime zoteCha msingi ni kuweka unga kwenye mfuko chini ya uvungu... Sio kwenye fridge... Imagine unatumia sufuria zina Windows 11 hapo angeenda kuazima sufuria za kupikia...