Midahalo hata irudiwe mara kumi, kiufundi Trump hataweza kumshinda Harris katika mdahalo!

Trump ndio mwamba.
Kwa mujibu wa wachambuzi wa mdahalo Trump kwenye mdahalo amedanganya mara 30+ na almost wamesema ni kila sentensi aliyoitamka alikuwa anachomeka uongo
 
Wenzako tuna taarifa za "ndani" kuwa Rais ajaye wa Marekani ni Donald Trump.

Kama unabisha subiri uchaguzi ukamilike. Usisahau kuja kunikumbusha!
Hakuna tatizo.
Mimi nipo hapa JF, tutakuja kukumbushana.
Kwa jicho la kiuchambuzi, mwelekeo wa siasa za USA kwa sasa ni kama vile unambeba Kamala kwa speed kubwa. Kama hali itaendelea hivi hivi kwa wiki zingine tatu zijazo, basi hii game Trump atakuwa ameipoteza kirahisi kama. Mwanamama inaonekana kama anajimudu na amejipanga vizuri.
 
Wapo wachambuzi kadhaa wanasema kama inawezekana basi Trump na mgombea mwenza wake wasishiriki midahalo mingine ijayo maana huenda ikawadidimiza.
 
Mpira ni dakika tisini mkuu! Muda tutasema.

Wengine hatuna hata haja ya kumfuatilia nidahalo. Tayari tunajua kuwa Rais wa Marekani ni Donald Trump!
 
Mpira ni dakika tisini mkuu! Muda tutasema.

Wengine hatuna hata haja ya kumfuatilia nidahalo. Tayari tunajua kuwa Rais wa Marekani ni Donald Trump!
Fuatilia midahalo ya waliokutangulia ujifunze kitu na kufurahia minyukano mizuri ya viunga vya siasa. Ni raha sana.
 
Kushinda mdahalo Haina shida mkuu! Kama umesoma nilochoandika, utakumbuka kuwa hata mimi nimelubali kuwa Harris kashinda mdahalo I gawa sijauangalia ila Urais ni w Trump! Mbona hilo wengi tushalifahamu? Rais ajaye wa USA ni Trump!
Haya ni maneno ya kijinga
 
naskai bibiye kamala kamkimbiza kikongwe jana
 
Kwa mujibu wa wachambuzi wa mdahalo Trump kwenye mdahalo amedanganya mara 30+ na almost wamesema ni kila sentensi aliyoitamka alikuwa anachomeka uongo
hakuna mwanasiasa mkweli duniani labda mwanaharakati.
 
Unajua Kwann taifa let’s haliendelei?
Kwa sababu y unafki…

Sasa trump kakataa kuwa mnafki, wahamiaji wanaoingia USA kila leo wanaimpact kubwa sn kwa wenyeji, na ndo maana mataifa mengi yalioendelea yameanza kuchukua hatua
 
Kama trump aliweza kumuangusha hirrary mbobezi wa siasa za marekani, alie olewa na kuishi ikulu kipnd mumewe akiwa rais…

Huyo karani wa mahakama n m2 mdogo sn
 
Sawa....

Tunataka sasa mdahalo wa marais wa kwenye uchaguzi wa Tanzania pia

Ova
Tujikite kwenye uchaguzi wa Marekani kwani inakubalika wazi kwamba Tanzania hakuna uchaguzi. Uchaguzi gani chama kinachoshiriki kwenye uchaguzi eti ndicho kinachoandaa, kusimamia, kuratibu na kisha kutangaza matokeo ya uchaguzi. Bure kabisa.
 
Clinton alimshinda Trump kwa kura za wananchi. Ila kundi la watu wasiozidi 300 wakampitisha Trump.

Rais wa Marekani eshajulikna hata kabla ya kura kupigwa
Ndio walewale wa vijiweni hata hujui uchaguzi wa Marekani ulivyo ni kazi ngumu sana kuwaelewesha mazao ya St Kayumba wakichanganyikana na wa madrasa.
 
Tujikite kwenye uchaguzi wa Marekani kwani inakubalika wazi kwamba Tanzania hakuna uchaguzi. Uchaguzi gani chama kinachoshiriki kwenye uchaguzi eti ndicho kinachoandaa, kusimamia, kuratibu na kisha kutangaza matokeo ya uchaguzi. Bure kabisa.
😄 hatuna uchaguzi
Tuna zekomedi shw tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…