Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
movie zlishatoka cku nyng xana, ya mwisho ilitoka mwaka 2008Movie bado Mkuu!
Yule atakuwa sio binaadamu ni Alien...Ila naamini D.B. Cooper bado anakimbiza katika historia ya wahalifu jamani.
Hakuna movie kuhusu Albert Spaggiari! Kuna documentaries na vitabu pekee.. Au nielekeze na mimi nizitafute hizo movie sababu nimetafuta sana hakunamovie zlishatoka cku nyng xana, ya mwisho ilitoka mwaka 2008
Hahahahah!! Daaaah Mkuu nimecheka sana hii comment, sijui umefikiria ninihuwez kula ugali kila siku ukawa na akili kubwa kama izi.
haswa....Yule atakuwa sio binaadamu ni Alien...
Bila shaka Mkuu! I will look into that..Mkuu the bold big up sana.
Pia ningeomba kama hutojali utuandalie pia story za Italian mafia koz wengi Bado wapo hai na operation zao zinaendelea uhasama wao unaendelea, pia wanakamatwa hata juzi hapa wamekamatwa ntafurahi kama ukituletea story zao from beginning
zipo mkuu sema kwa africa hazijaenea, the easy way(2008), sewers of gold (1979), the great riviera bank robbery (1979)Hakuna movie kuhusu Albert Spaggiari! Kuna documentaries na vitabu pekee.. Au nielekeze na mimi nizitafute hizo movie sababu nimetafuta sana hakuna
tutafutie snowden bana, hawa maghost wngn wanatuinspire tukaibe na hii hali ya ajira kufungiwa ndio ucseme kbsaBila shaka Mkuu! I will look into that..
Sawa mkuu tutshukuruBila shaka Mkuu! I will look into that..
Mkuu kwa kadiri ninavyo fahamu hivi ulivyovitaja ni vitabu sio movies..zipo mkuu sema kwa africa hazijaenea, the easy way(2008), sewers of gold (1979), the great riviera bank robbery (1979)
Hahahaha! Sawa Mkuu..tutafutie snowden bana, hawa maghost wngn wanatuinspire tukaibe na hii hali ya ajira kufungiwa ndio ucseme kbsa
hahaha ofcoz mkuu, tunahitaji story za watu wa generation yetu km wakina snowden, wakina albert, cooper hawa co level zetuHahahaha! Sawa Mkuu..
Mkuu inaonekana unamkubali sana Snowden
hzo ni movie pia mkuu, cjakurupuka kukuorodheshea, hv unajua the hunt of D.B cooper ni movie flani ila ukiachilia mbali kwny u2bu, huwezi ipata kirahc kwny torrentz au piratesbay. HV vitu vpo sema huku kwetu tumevisubiri sanaMkuu kwa kadiri ninavyo fahamu hivi ulivyovitaja ni vitabu sio movies..
Hv presenter nkuulize kitu, hv kwa kipaji cha kufasiri ulichojaliwa, kwanin ucwaze kuandaa vitabu km alivyofanya yule jamaa aliyeandika kitabu cha "wababe wa dunia" ndani kawaelezea watu mashughuli km wakna hugo chavez, carlos the jackal, che guevara e.t.c na jamaa aliuza kweli ile nakala, hv km matapeli wa mjn hapa wkna shigongo wangetoa bure nyuzi km hizi hz kweli??, mkuu inaelekea mfuko wako unasoma vizuri sana, ila km umehamua kutuburudisha bure karibu, mwisho ucje kutuchukulia dada zetu bure.Hahahaha! Sawa Mkuu..
Mkuu inaonekana unamkubali sana Snowden
Hahahahah! Aisee..Hv presenter nkuulize kitu, hv kwa kipaji cha kufasiri ulichojaliwa, kwanin ucwaze kuandaa vitabu km alivyofanya yule jamaa aliyeandika kitabu cha "wababe wa dunia" ndani kawaelezea watu mashughuli km wakna hugo chavez, carlos the jackal, che guevara e.t.c na jamaa aliuza kweli ile nakala, hv km matapeli wa mjn hapa wkna shigongo wangetoa bure nyuzi km hizi hz kweli??, mkuu inaelekea mfuko wako unasoma vizuri sana, ila km umehamua kutuburudisha bure karibu, mwisho ucje kutuchukulia dada zetu bure.