RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Bank uliyoweka ndio ulijichanganya. Hukuwa na uelewa kuhusu soko la hisa au ulikurupuka. Ungewekeza CRDB ungekuwa mbali sana. Then hakuna fixed account yenye faida kama Bond huo niupotoshajikwa uchumi wa Tz kuwekeza kwenye bond na hisa ni kupoteza pesa tena sana.
Ni bora iyo pesa ya hisa au bond ufungue fix acc uweke iyo pesa utapata faida kubwa sana kuzid izo bond na hisa.
Niliwekeza hisa za bank moja apa tz hisa za milion kazaa leo ni mwaka wa7 faida niliyoipata ni kam ka mchezo tu
Iyo pesa ningewekeza kwenye biashara ata ya mpesa ningekua mbali sana ata ningeuza yebo ningekua na faida kubwa na duka lingekua kubwa sana ad leo
Wakinunuliwa bond za 200M kwa bond inayotoa 15% kwa mwaka watakuwa wanapewa mgao wa 30,000,000 na bado milion 200 ipo pale pale kwa kila mwaka maishs yao yote au wakiamua kuchukua bond yao itakapokuwa imeiva hawatapata mgao tena, malipo yanaweza kuwa ni yakila mwezi au baada ya miezi 3Nasoma Maoni ili nipate uelewa zaidi. Kwenye msiba wa Mtumishi wa TRA nilimsikia Mhe Mwingulu anamuagiza kamishna wa TRA kutafuta milioni 200 kwaajili ya kununua Bond(kama sijakosea) kwaajili ya watoto wa marehemu ziwasaidie kupata mahitaji Yao. Kwenye kuelewa zaidi hii kitu ipoje?
Kwa maisha yetu haya. Hiyo ni hela nzuri Sana.Wakinunuliwa bond za 200M kwa bond inayotoa 15% kwa mwaka watakuwa wanapewa mgao wa 30,000,000 na bado milion 200 ipo pale pale kwa kila mwaka maishs yao yote au wakiamua kuchukua bond yao itakapokuwa imeiva hawatapata mgao tena, malipo yanaweza kuwa ni yakila mwezi au baada ya miezi 3
Hii nimeelewa š¤UTT naichukulia kama sehemu ya kuhifadhi fedha, badala ya kuweka kwenye saving Acc za benk ambapo utakatwa Mankato kibao.
Mfano unataka kununua gari la 35M. Maana yake unaanza kukusanya fedha kidogo kidogo. So ukipata lak 5, unatupia huko, ukipata elf 50 hivyo hivyo mpaka ufikie malengo Yako.
Ila kama unataka kuzalisha fedha tafuta namna nyingine.
70- 90kNikiweka 10M mwezi huu January, ongezeko lake kwa mwezi inakuwaje?
Mkuu, hii ni part ya Account statement? Hivi wanatoa vitambulisho vya uwekezaji?
Vitambulisho Nenda Sukari House, Dar Es SalaamMkuu, hii ni part ya Account statement? Hivi wanatoa vitambulisho vya uwekezaji?
We ulipata? Mimi nilijaza kwenye fomu lakini mpaka leo sijapata.Vitambulisho Nenda Sukari House, Dar Es Salaam
DDecember 2024 Niliwatembelea Nikaacha Taarifa Zangu Na AnuaniWe ulipata? Mimi nilijaza kwenye fomu lakini mpaka leo sijapata.
Si kweli kwamba fixed account zinatoa faida zaidi ya UTTkwa uchumi wa Tz kuwekeza kwenye bond na hisa ni kupoteza pesa tena sana.
Ni bora iyo pesa ya hisa au bond ufungue fix acc uweke iyo pesa utapata faida kubwa sana kuzid izo bond na hisa.
Niliwekeza hisa za bank moja apa tz hisa za milion kazaa leo ni mwaka wa7 faida niliyoipata ni kam ka mchezo tu
Iyo pesa ningewekeza kwenye biashara ata ya mpesa ningekua mbali sana ata ningeuza yebo ningekua na faida kubwa na duka lingekua kubwa sana ad leo
This is true! Mtu aliyenunua vipande vya umoja fund kwa TZS 100 mwaka 2007 akanunua let's say vipande 10000 leo ana value ya 10mBank uliyoweka ndio ulijichanganya. Hukuwa na uelewa kuhusu soko la hisa au ulikurupuka. Ungewekeza CRDB ungekuwa mbali sana. Then hakuna fixed account yenye faida kama Bond huo niupotoshaji
2m+Kwa maisha yetu haya. Hiyo ni hela nzuri Sana.
Kweli kabisa kuna screenshot moja niliiona humu mtu amescreen shot account yake ina 500+ million Irudishe tuone mkuu, na sisi utape ujasiri wa kujitafuta
Clark boots hii hapa mkuuBila shaka hiyo screeshot ni hii
View attachment 3205927
Watu wamewekeza si mchezoBila shaka hiyo screeshot ni hii
View attachment 3205927
Tatizo sio kuwekeza mkuu , tatizo kupata hicho kibundaš¤ŖWatu wamewekeza si mchezo