RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
kwa uchumi wa Tz kuwekeza kwenye bond na hisa ni kupoteza pesa tena sana.
Ni bora iyo pesa ya hisa au bond ufungue fix acc uweke iyo pesa utapata faida kubwa sana kuzid izo bond na hisa.
Niliwekeza hisa za bank moja apa tz hisa za milion kazaa leo ni mwaka wa7 faida niliyoipata ni kam ka mchezo tu
Iyo pesa ningewekeza kwenye biashara ata ya mpesa ningekua mbali sana ata ningeuza yebo ningekua na faida kubwa na duka lingekua kubwa sana ad leo
Ni bora iyo pesa ya hisa au bond ufungue fix acc uweke iyo pesa utapata faida kubwa sana kuzid izo bond na hisa.
Niliwekeza hisa za bank moja apa tz hisa za milion kazaa leo ni mwaka wa7 faida niliyoipata ni kam ka mchezo tu
Iyo pesa ningewekeza kwenye biashara ata ya mpesa ningekua mbali sana ata ningeuza yebo ningekua na faida kubwa na duka lingekua kubwa sana ad leo