Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Marubani walielekezwa sehemu za kupiga, siyo kweli kwamba walipiga walipotaka. Kama wangepiga wàlipotaka Ayatollah asiñgekuwepo hai.Ndege ziliingia ndani kabisa ya Iran na kujipigia popote marubani walipotaka, hakuna mfumo wa ulinzi wa Iran ulioweza kuona hata ndege moja
Asee Mimi mwenyewe imenibidi nicheke TU kwakweliYaani unaleta video ya siku Iran kaipiga Israel halafu unadai ni Israel kuipiga Iran?
Hii ni video ya Israel ikipigwa na Iran kila siku unapost kudanganya watu
Video Halisi ambayo makombora ya Israel yote yakiwa intercepted ni hii hapa
View: https://m.youtube.com/watch?v=5X0ZluZ7L74
Makombora yote yalilipuliwa Angani, na madhara waliyopata Iran ni yale mabaki ya makombora kudondoka Ardhini.
Kifupi wa Iran wengi walikua hawajui walishambuliwa, wanaamka asubuhi na wao kama sisi wa naona Vyombo vya habari walishambuliwa.
Iran yy hurusha vikombora vingi ila mzayuni anaingia kwake anapiga kwa usahihi na kuondokaHiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",
Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"
Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.
Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.
Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Radar systems in Iran breached prior to Israel's Saturday counter-strike - report
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.www.jpost.com
Story tu hizo, kama walizidukuwa kwanini waliishia kwenye anga ya Iraq? Na kufanya mashambulizi kwa uwoga mkubwaHiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",
Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"
Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.
Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.
Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Radar systems in Iran breached prior to Israel's Saturday counter-strike - report
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.www.jpost.com
😂😂😂Hii ni video ya Israel ikipigwa na Iran kila siku unapost kudanganya watu
Video Halisi ambayo makombora ya Israel yote yakiwa intercepted ni hii hapa
View: https://m.youtube.com/watch?v=5X0ZluZ7L74
Makombora yote yalilipuliwa Angani, na madhara waliyopata Iran ni yale mabaki ya makombora kudondoka Ardhini.
Kifupi wa Iran wengi walikua hawajui walishambuliwa, wanaamka asubuhi na wao kama sisi wa naona Vyombo vya habari walishambuliwa.
Iran upiganaji wake hauna tofauti na Hamas, Hizbullah, Houth yaan wao kurusha mawe tu hawana mbinu nyingine.Iran yy hurusha vikombora vingi ila mzayuni anaingia kwake anapiga kwa usahihi na kuondoka
Ze faki iz zis!?sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa,
Utawaokota machizi wenzako na member wapya wasiokujua ,.Hiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",
Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"
Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.
Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.
Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Radar systems in Iran breached prior to Israel's Saturday counter-strike - report
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.www.jpost.com
Israel ina nyumba za viooo alafu inaleta shobooo si tunatupaa maweee ooh mawe ....Iran upiganaji wake hauna tofauti na Hamas, Hizbullah, Houth yaan wao kurusha mawe tu hawana mbinu nyingine.
Kumbe ni wakikee ndio maana likafeli hilo shambulio ,,next time watume wanaume kama wako lakinInshort ayatollah alikua uchi, wayahudi wakaingia wakajipigia walivyotaka kisha wakaondoka.
Inasemekana operation iliendesheshwa na marubani wa kike
Isreal tokea alipoanza kupigana October 7, mbinu gani nyingine anayoitumia?Iran upiganaji wake hauna tofauti na Hamas, Hizbullah, Houth yaan wao kurusha mawe tu hawana mbinu nyingine.
Kila mtu anayo hio video yako toka October 1, kila mtu anajua ni video ya makombora ya Iran, unamdanganya nani humu? Ama unadhani JF nzima ni mambumbu utawadanganya tu? lete source yoyote kubwa ya video yako kwamba ni shambulio la juzi.Ustadh umeokoteza wapi video, mbona mnajazana ujinga, nimekupa video iliyochukuliwa na raia wa Iran, tena unawaskia wakibwatuka yale maupuzi yenu Akbar Akbar
It is OK, but U don't want people to know that Ayatollah is seriously sick eh?Another fool
Hiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",
Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"
Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.
Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.
Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Radar systems in Iran breached prior to Israel's Saturday counter-strike - report
Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.www.jpost.com