Mifumo ya Rada ya Iran ilidukuliwa kabla ndege za Israel kufika, ndio maana walijipigia walivyotaka na kugeuza bila tatizo

Mifumo ya Rada ya Iran ilidukuliwa kabla ndege za Israel kufika, ndio maana walijipigia walivyotaka na kugeuza bila tatizo

Marubani wa zile Fighter jets za IDF walikuwa ni Wasichana wabichi kabisa walikuwa wameziachia Nywele zao huku wakitoa Dozi 😆😁 wakato huo huo Ayatolah yuko kwenye Shimo🤣🤣
 
Yaan Israel ni kama mandonga akipigwa amepiga,akipiga amepiga duuh wiki nzima tutasikia kelele hizi hizi haya sasa nyie mmepiga sana pako uchi Iran Rudini tena mpige radar zote ziko chali, sisi tutakua na Subra mpaka muda utakapofika wa promise 3 nyie endeleeni
 
Muwe mnafuatilia taarifa mbalimbali professionally siyo kwa ushabiki wa simba na Yanga.

Usahihi ni kwamba, mifumo ya radar ya Iran, iliyopo Syria na Iraq ilipigwa kwanza ili kuzuia hizo ndege za Israel zisionekane zikiwa njiani kuelekea kuidhambulia Iran.

Katika kushambulia, baadhi ya ndege zilishambulia zikiwa zimeingia kwenye anga la Iran. Na nyingine zilishambulia, zikiwa mpakani mwa Iraq na Iran lakini zikiwa ndani ya anga la Iraq.

MAtukio hayo yote, Iran imeyafikisha kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa, ambapo Iran ina malalamiko mawili:

1) Ndege za Israel kuingia anga la Iran bila ya kibali
2) kuishambulia Iran
 
Screenshot_2024-10-21-22-29-59-585_com.twitter.android.jpg
 
Hii ni video ya Israel ikipigwa na Iran kila siku unapost kudanganya watu

Video Halisi ambayo makombora ya Israel yote yakiwa intercepted ni hii hapa


View: https://m.youtube.com/watch?v=5X0ZluZ7L74

Makombora yote yalilipuliwa Angani, na madhara waliyopata Iran ni yale mabaki ya makombora kudondoka Ardhini.

Kifupi wa Iran wengi walikua hawajui walishambuliwa, wanaamka asubuhi na wao kama sisi wa naona Vyombo vya habari walishambuliwa.


Ustadh umeokoteza wapi video, mbona mnajazana ujinga, nimekupa video iliyochukuliwa na raia wa Iran, tena unawaskia wakibwatuka yale maupuzi yenu Akbar Akbar
 
Hiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",

Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"

Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.​

Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.

Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Iran yy hurusha vikombora vingi ila mzayuni anaingia kwake anapiga kwa usahihi na kuondoka
 
Hiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",

Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"

Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.​

Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.

Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Story tu hizo, kama walizidukuwa kwanini waliishia kwenye anga ya Iraq? Na kufanya mashambulizi kwa uwoga mkubwa
 
Hii ni video ya Israel ikipigwa na Iran kila siku unapost kudanganya watu

Video Halisi ambayo makombora ya Israel yote yakiwa intercepted ni hii hapa


View: https://m.youtube.com/watch?v=5X0ZluZ7L74

Makombora yote yalilipuliwa Angani, na madhara waliyopata Iran ni yale mabaki ya makombora kudondoka Ardhini.

Kifupi wa Iran wengi walikua hawajui walishambuliwa, wanaamka asubuhi na wao kama sisi wa naona Vyombo vya habari walishambuliwa.

😂😂😂
 
Iran yy hurusha vikombora vingi ila mzayuni anaingia kwake anapiga kwa usahihi na kuondoka
Iran upiganaji wake hauna tofauti na Hamas, Hizbullah, Houth yaan wao kurusha mawe tu hawana mbinu nyingine.
 
Hiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",

Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"

Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.​

Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.

Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.
Utawaokota machizi wenzako na member wapya wasiokujua ,.
Cheo cha upropaganda kwa jf umeshika ww na kipanya
Ila nahis nyie ni mtu mmoja
 
Iran upiganaji wake hauna tofauti na Hamas, Hizbullah, Houth yaan wao kurusha mawe tu hawana mbinu nyingine.
Israel ina nyumba za viooo alafu inaleta shobooo si tunatupaa maweee ooh mawe ....
hio Ngoma kali xnaa toka kwa mwanangu nyandu tozzy
 
Inshort ayatollah alikua uchi, wayahudi wakaingia wakajipigia walivyotaka kisha wakaondoka.
Inasemekana operation iliendesheshwa na marubani wa kike
Kumbe ni wakikee ndio maana likafeli hilo shambulio ,,next time watume wanaume kama wako lakin
Maana taifa limejaa mashoga hilo
 
Ustadh umeokoteza wapi video, mbona mnajazana ujinga, nimekupa video iliyochukuliwa na raia wa Iran, tena unawaskia wakibwatuka yale maupuzi yenu Akbar Akbar
Kila mtu anayo hio video yako toka October 1, kila mtu anajua ni video ya makombora ya Iran, unamdanganya nani humu? Ama unadhani JF nzima ni mambumbu utawadanganya tu? lete source yoyote kubwa ya video yako kwamba ni shambulio la juzi.

Video yangu ni live toka Al jazeera na ukicopy link utaona inatoka page ya Al Jazeera YouTube.
 
Hiyo mifumo ilidukuliwa wakapoteana, ndege za Israel zikawa zinajipigia tu, sema tatizo ni kwamba walipiga kwa malengo, hakuna rubani aliyepiga sehemu hakupangiwa, ila ingekua lile agizo la kijeshi inaloitwa "fire at will",

Tehran ingewaka moto, maana hilo agizo humaanisha kwamba mwanajeshi piga popote unahisi panapaswa kupigwa kwa maamuzi yako mwenyewe. Au kwa lugha ya Marines, wao husema "light 'em up"

Soma Pia: Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa
=============================

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace.​

Shortly before Israel launched its retaliatory attack on Iran on Saturday, radar systems in the Iranian defense systems were breached, and the radar screens froze, KAN reported on Monday, citing Iranian sources.

Due to this possible breach, Iran's ability to intercept targets was limited and allowed the Israeli air force to penetrate Iranian airspace, Iranian sources were cited by the Israeli state broadcaster as saying.

Prior to launching the attack on Iran on Saturday, Israel conducted a preliminary strike on radar targets in Syria aimed at "blinding" Iran's capabilities.

Bila shaka mdukuzi mkuu ukukuwa hapo sokoni Gikomba ukiuza nyanya
 
Back
Top Bottom