Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Hizi taarab tushazizoea baada ya Uchaguzi kutakua na jipya gani
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Acha kupotosha mabomu yalirushwa kutokea Iraq ndege hazikuingia kwenye anga la Iran. Mnaongea uongo kwa faida ya nani
 
Shambulizi limefeli, 200 ballistic missiles utalinganisha na hii minor attack?
 
Yani AA guns iwe ina speed ya namna ile kwenye interception na kwa umbali ule!??
Mkuu taratibu bana!
Embu katizame ule umbali na kasi ya ule udunguaji na umbali wake.
 
Sawa chizi mwenzangu
 
Shambulizi limefeli, 200 ballistic missiles utalinganisha na hii minor attack?
Wewe Islamist, tulia. Kwani vipigo mlivyonavyo vinasaba kiwewe. Gaza mlisema mnashinda vita. Mmechakazwa mpaka muasisi wa October 7 akamaliziwa. Lebanon, ndiyo usiseme. Iran ndiyo hivyo hamkuweza tungua hata ndege moja. Nyinyi mngeleta ndege zenu Israel, sijui kama ingerudi hata moja. Sasa nikwambiye kijacho?
1. Kule USA Trump ndiyo huyo anashinda uchaguzi. Waislamu wenzio kule Michigan, wamezinduka na kuona ni afadhali wampe sapoti. Wale wanaoimba from the river to the sea, deportation inawasubiri
2. Your Muslim brotherhood inayochochea vurugu kule Marekani their days are numbered
3. Maayatollah wenu hao ambao wewe Sunni kwa ujinga wako unajiegemesha kwao, serikali ya Maayatollah wake kule Iran their days are numbered.
4. Vita kati ya Sunni na Shia inarudi kwa kile kinachoendelea kule Lebanon. Sasa ndiyo utajua haujui. Sijui utakuwa upande gani popo wewe
 
Taqqya ( kusema uongo ili kutete uislm, kaallah na Paedophile Muhammad) iko kwenye damu zenu.
Maayatollah wenuhao wanaenda kufutiliwa mbali. Wewe subiri; your days are numbered
 
 
Naunga mkono hoja huyo mchafuzi anangojea satellite images eti kujua madhara ya ndege mia kwanza anajua ndege mia idadi yake israhell bure kabisa
ndege mia na makombora na drone 500 ambazo hazijaleta madhara yeyote kipi ndo bure kabisa
 
Nimeshangazwa sana na uwezo wa Iran wa kuzuia hayo makombora. Marekani wataalamu wa masuala ya kijeshi wanasema yaliyopo nyuma yake ni makubwa zaidi Israel asijaribu kuendelea kuchokoza iran
 
Wewe Islamist, tulia.
Nimekudharau sana, mimi ni mlokole pure kabisa ila sipendi uonevu na najua maandiko sio kidogo so mnapokuja na propaganda zenu hizi sijui taifa teule mkapotoshe kwingine sio mimi.
Gaza mlisema mnashinda vita.
Nilisema na nani? kikundi cha rebels huwa ni guerilla warfare sio kushinda vita kila mtu alisema kiasi gani wata hold back hao wayahudi. Maana wanapigana defensive war sio offensive.
 
Kavae Burka/Niqab/Hijab wewe msichana.

View: https://x.com/RealBababanaras/status/1850537560927592558
 
Unachekesha sana stay tune kwa sasa Iran aina mfumo wa ulinzi na ndio maana wakilipiza yatakayo wapata nimakubwa stay tune
 
Mzayuni wa jf funga hata sabufa hapo kwa hio kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…