Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran ilivyoishangaza dunia leo!

Katika shambulio hili Israel imepata aibu na hasara kubwa bila mafanikio.
Ni juzi tu hapa mkuu wa jeshi la Israel aliwaahidi mabosi wake wa West, pamoja na wale wa wayahudi wa hapa kwetu Bonyokwa kuwa shambulio litakalofanywa na Israel litakuwa kubwa na lenye madhara makubwa kwa Iran.

Matokeo yake tumeona jinsi shambulio hilo lilivyonywea. Yametumika maandalizi mengi halaf matokeo madogo. Ndege 100 zinatoka bila kuacha madhara yoyote kama tulivyoahidiwa. Hii ni aibu na fedheha kwa Netanyahu na genge lake. Ndio maana Ayatollah hakuona sababu ya kuingia hasara ya kuzishusha, maana zilienda tu kutalii na kutoka. I mean aliona hazikuwa na athari yoyote kwenye nchi yake.
 
Kwa kweli Defensive systems za Iran zimefanyakazi kubwa!
Mifumo ime engage na missiles za Israel kikamilifu.
Makombora mengi yamedunguliwa!
Lakini hata hivyo airspace ya Iran iko wazi! Kama ndege za Israel zimeingia na kutoka bado Iran haiwezi kujivuna sana.
Prof. Elijah(military and political analyst) kahojiwa al Jazeera amesema hizo ndege haikuingia anga ya irani yaani zilisogea tu hazikuingia halafu zikatuma missiles.

Maana yake zingeingia anga la muajemi unadhani nini kingetokea?
Dunia imeshangazwa na defense system ya muajemi kuwa bora kuliko walivyodhani.

Kumbuka Hypersonic missiles zote alizotuma muajemi zote zilipiga target muda huo Mifumo ya ulinzi Israel ipo tu haijui kinachoendelea.
 
Ndege zinaingia, zinashambulia, zinatoka unharmed halafu unasema Iran imeishangaza dunia.
Ni kweli imeishangaza dunia kwa kutokuwa na radar makini.
Kwa tasiri nyingine myahudi ana uwezo wa kuingia atakavyo Iran.
Kwa mtu mwenye akili lazima ashangae
Hakuna Ndege ilio ingia Anga la Iran acha Kujitoa Ufahamu
 
Kwa kweli Defensive systems za Iran zimefanyakazi kubwa!
Mifumo ime engage na missiles za Israel kikamilifu.
Makombora mengi yamedunguliwa!
Lakini hata hivyo airspace ya Iran iko wazi! Kama ndege za Israel zimeingia na kutoka bado Iran haiwezi kujivuna sana.
Prof. Elijah(military and political analyst) kahijowa al Jazeera amesema hizo ndege haikuingia anga ya irani yaani zilisogea tu halafu zikatuma missiles.

Maana yake zingeingia anga la muajemi unadhani nini kingetokea?
Dunia imeshangazwa na defense system ya muajemi kuwa bora kuliko walivyodhani.

Kumbuka Hypersonic missiles zote alizotuma muajemi zote zilipiga target muda huo Mifumo ya ulinzi Israel ipo tu haijui kinachoendelea.
 
Katika shambulio hili Israel imepata aibu na hasara kubwa bila mafanikio.
Ni juzi tu hapa mkuu wa jeshi la Israel aliwaahidi mabosi wake wa West, pamoja na wale wa wayahudi wa hapa kwetu Bonyokwa kuwa shambulio litakalofanywa na Israel litakuwa kubwa na lenye madhara makubwa kwa Iran.

Matokeo yake tumeona jinsi shambulio hilo lilivyonywea. Yametumika maandalizi mengi halaf matokeo madogo. Ndege 100 zinatoka bila kuacha madhara yoyote kama tulivyoahidiwa. Hii ni aibu na fedheha kwa Netanyahu na genge lake. Ndio maana Ayatollah hakuona sababu ya kuingia hasara ya kuzishusha, maana zilienda tu kutalii na kutoka. I mean aliona hazikuwa na athari yoyote kwenye nchi yake.
Wameiabika sana
 
Kwa kweli Defensive systems za Iran zimefanyakazi kubwa!
Mifumo ime engage na missiles za Israel kikamilifu.
Makombora mengi yamedunguliwa!
Lakini hata hivyo airspace ya Iran iko wazi! Kama ndege za Israel zimeingia na kutoka bado Iran haiwezi kujivuna sana.
Waambie Iran waonyeshe wreckages za hayo makombora ya Israel. Huwezi pata matokeo sasa hivi subiri siku mbili au tatu tuone satellite images maana Israel imeshambulia military targets na hakuna raia au waandishi wa habari wanaweza rekodi.

Iran inazuia missiles kwa AA guns kama tupo vita ya pili ya dunia. Iran hawana mfumo wa kuzuia makombora sawa hilo tunajua, vipi hizo ndege za Israel walizodungua ziko wapi?
 
Wenzako wamejaribu kuwasoma response ya Defence system yao inafanyaje kazi katika uhalisia. Wameshawasoma Kitakachowafuata itakuwa balaa.

Ninavyoona atamalizana kwanza Proxies kabla ya kuingia full kwa Iran
Wamewasoma tena😂😂😂Yaani Iran ilivyoiadhibu Israel ile siku na kuchoma bases vile halafu useme wameenda kuwasoma?🤣
 
Ndege 100 zipo kwenye anga lako na umeshindwa kudondosha hata moja na unasifia mifumo ya ulinzi ya Urusi
Kwanini utumie nguvu kumpiga mtu ambae hana uwezo hata wa kukugusa?

Israel iliahidi kufanya shambulio kubwa kuwahi kutokea. Lakini matokeo yake walishindwa kufanywa shambulio hilo kutokana na ulinzi mkubwa wa anga wa Iran. Hivyo hapakuwa na sababu ya kumchapa mtu ambae hakuleta madhara katika ardhi yao.

Halaf acha unafiki na utumie akili yako kufikiria jinsi shambulizi la Iran linavyofanya Dunia yote iliongelee kutokana na madhara inayoachaga ukijumlisha na haya ya Israel ambayo wengi huwa hawana hata habari nayo japo media za west huwa kazini kuhakikisha linakuzwa.
 
Zio news at it again. Using footage from Beirut attacks and claiming it's from Iran.

Next time, remember to mask Al-Jadeed's logo like you did in the 3rd video.
20241026_111807.jpeg
 
Katika shambulio hili Israel imepata aibu na hasara kubwa bila mafanikio.
Ni juzi tu hapa mkuu wa jeshi la Israel aliwaahidi mabosi wake wa West, pamoja na wale wa wayahudi wa hapa kwetu Bonyokwa kuwa shambulio litakalofanywa na Israel litakuwa kubwa na lenye madhara makubwa kwa Iran.

Matokeo yake tumeona jinsi shambulio hilo lilivyonywea. Yametumika maandalizi mengi halaf matokeo madogo. Ndege 100 zinatoka bila kuacha madhara yoyote kama tulivyoahidiwa. Hii ni aibu na fedheha kwa Netanyahu na genge lake. Ndio maana Ayatollah hakuona sababu ya kuingia hasara ya kuzishusha, maana zilienda tu kutalii na kutoka. I mean aliona hazikuwa na athari yoyote kwenye nchi yake.
Wewe acha kudanganya watu humu, Iran wenyewe Bado hawajatoa taarifa za madhara yaliopatikana tayar wewe unawasemea acha uchawa, tusubiri taarifa kutoka Kwa serekali ya Iran ndio tutaamini sio wewe kilaza
 
Prof. Elijah(military and political analyst) kahijowa al Jazeera amesema hizo ndege haikuingia anga ya irani yaani zilisogea tu halafu zikatuma missiles.

Maana yake zingeingia anga la muajemi unadhani nini kingetokea?
Dunia imeshangazwa na defense system ya muajemi kuwa bora kuliko walivyodhani.

Kumbuka Hypersonic missiles zote alizotuma muajemi zote zilipiga target muda huo Mifumo ya ulinzi Israel ipo tu haijui kinachoendelea.
Airbases mnazosema mlipiga zinafanya kazi vizuri na zimetumika kuwashambulia. Headquarters za usalama mnazosema mlipiga zinafanya kazi. Sasa sijui Iran inashambulia kwa kupapasa.
 
Kwanini utumie nguvu kumpiga mtu ambae hana uwezo hata wa kukugusa?

Israel iliahidi kufanya shambulio kubwa kuwahi kutokea. Lakini matokeo yake walishindwa kufanywa shambulio hilo kutokana na ulinzi mkubwa wa anga wa Iran. Hivyo hapakuwa na sababu ya kumchapa mtu ambae hakuleta madhara katika ardhi yao.

Halaf acha unafiki na utumie akili yako kufikiria jinsi shambulizi la Iran linavyofanya Dunia yote iliongelee kutokana na madhara inayoachaga ukijumlisha na haya ya Israel ambayo wengi huwa hawana hata habari nayo japo media za west huwa kazini kuhakikisha linakuzwa.
Ehee, madhara yapi makubwa Israel ilipata? tuonyeshe
 
Back
Top Bottom