- Thread starter
- #21
🤣🤣🤣daahHahahahah acha makasiriko. Ndege imekamatwa, tuwe wapole, mbu ametua kwenye testicles huwezi kutumia nguvu kumuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣daahHahahahah acha makasiriko. Ndege imekamatwa, tuwe wapole, mbu ametua kwenye testicles huwezi kutumia nguvu kumuua
Ili Tanzania tutoke, tunamwitaji sana Tundu Lissu atuongozeNianze kwa kunukuu maneno ya Nabii na Mtume Josefat Mwingira.
" He is a victor' you can not conquer a Victor"
Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata chombo chochote cha habari lakini wananchi wanajua alipo na mikutano yake.
You can not make him fell, God is with Him. This Man is a living Miracle.
Mwisho wa kunukuu.
Tundu Lissu alionesha ubora wake kipindi chote alichokuwa mbunge na hasa ktk maswala ya ushauri wa kisheria katiba na utawala bora.
Nyota yake iling'aa zaidi wakati wa Bunge la Katiba alipokuwa mstari wa mbele kuwa Law consultant na wasomi wenzake waliobobea akina Dr Mwakyembe na Chenge pamoja na Jaji Werema na wengine.
Tundu Lissu aliwahi kusema
Tukicheza na MIGA tutaangukia pua tunahitaji kueekebisha sheria zetu kwani tulizitunga kwa pupa na zitatugharimu sisi wenyewe na taifa. Sasa tunaona kinachotokea kika kona ya Dunia.
Tundu aliwahi kusem hata hizi ndege tulizonunua kuna hatari ya kushindwa kuzidusha duniani kutokana na hofu ya kukamatwa kwa namna tunavyo handle migogoro ya Kisheria na wawekezaji wetu.
Tundu alikuwa mtu wa kwanza kusema tusipokuwa makini kama Taifa tunaweza kuangukia kwenye utawala wa kidikiteta. Sote ni mashahidi.
Tundu aliwahi kusema, Wakitumaliza sisi watakulana wao kwa wao. Akashauri wanaccm walio wengi washiriki kukemea vitendo viovu vinavyofanywa na watu wao ili sote tuwe salama. Kilichotokea kila mtu ni shahidi.
Tundu Lissu alisema mengi huku akibezwa na walioshiba na wenye kamba ndefu.
Sasa tusipoziba ufa tutajenga ukuta.
There are So many to come......
Kwani ukiliwa wewe nyuma kwa mapenzi yako Tamaduni za Nchi zinafutika?
Kwani ukiliwa wewe nyuma kwa mapenzi yako Tamaduni za Nchi zinafutika?
Jibu ni yamaduni zitafutika.
Mbona ushoga upo na umeenea tanzania umefanya nini kuzuia?Mkuu huwezi kufanya kitu haramu halafuataka kukifanya kiwe halali mazingira yetu na tamaduni zetu haziruhusu
Huu ukweli hata Deep State inaujua lakini bado wana sita sita.Ili Tanzania tutoke, tunamwitaji sana Tundu Lissu atuongoze
Mbona ushoga upo na umeenea tanzania umefanya nini kuzuia?
Kitogele bwana unachekeshaMimi sipo kwenye Mamlaka iliyopo labda nakuelemisha tu ww uandike makala kuelimisha umma
Chezeya mzee wa miga weweeeNianze kwa kunukuu maneno ya Nabii na Mtume Josefat Mwingira.
" He is a victor' you can not conquer a Victor"
Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata chombo chochote cha habari lakini wananchi wanajua alipo na mikutano yake.
You can not make him fell, God is with Him. This Man is a living Miracle.
Mwisho wa kunukuu.
Tundu Lissu alionesha ubora wake kipindi chote alichokuwa mbunge na hasa ktk maswala ya ushauri wa kisheria katiba na utawala bora.
Nyota yake iling'aa zaidi wakati wa Bunge la Katiba alipokuwa mstari wa mbele kuwa Law consultant na wasomi wenzake waliobobea akina Dr Mwakyembe na Chenge pamoja na Jaji Werema na wengine.
Tundu Lissu aliwahi kusema
Tukicheza na MIGA tutaangukia pua tunahitaji kueekebisha sheria zetu kwani tulizitunga kwa pupa na zitatugharimu sisi wenyewe na taifa. Sasa tunaona kinachotokea kika kona ya Dunia.
Tundu aliwahi kusem hata hizi ndege tulizonunua kuna hatari ya kushindwa kuzidusha duniani kutokana na hofu ya kukamatwa kwa namna tunavyo handle migogoro ya Kisheria na wawekezaji wetu.
Tundu alikuwa mtu wa kwanza kusema tusipokuwa makini kama Taifa tunaweza kuangukia kwenye utawala wa kidikiteta. Sote ni mashahidi.
Tundu aliwahi kusema, Wakitumaliza sisi watakulana wao kwa wao. Akashauri wanaccm walio wengi washiriki kukemea vitendo viovu vinavyofanywa na watu wao ili sote tuwe salama. Kilichotokea kila mtu ni shahidi.
Tundu Lissu alisema mengi huku akibezwa na walioshiba na wenye kamba ndefu.
Sasa tusipoziba ufa tutajenga ukuta.
There are So many to come......
Nchini mwako wamejaa machk kibaoMkuu huwezi kufanya kitu haramu halafu ikataka kukifanya kiwe halali mazingira yetu na tamaduni zetu haziruhusu
ushoga mnao huko ccm maana ndio agenda yenu makonda alipojaribu kupamba nao dicteta alimuonya aache maramoja sasa ushoga nan ni agenda yake kama sio ccm hata huyo shaka wenu ni mtu wa shughuli za mombasa na mkibisha nitawawekea clip yake hapa mumuone kiongoz wenu anavyopumuliwa.Agenda yake si USHOGA? Ndipo tatizo lilipo
Lissu ameyakomesha hayo machawa uchwara ya ccm saiv yananyambanyamba tu.Chezeya mzee wa miga weweee
Cc Kijogoodi thetallest mr chopa Kinuju Kiturilo Etwege Elitwege Kamanda Asiyechoka Idugunde the witch
Aibu yenu!Nani amsikilize boys huyo?
ushoga mnao huko ccm maana ndio agenda yenu makonda alipojaribu kupamba nao dicteta alimuonya aache maramoja sasa ushoga nan ni agenda yake kama sio ccm hata huyo shaka wenu ni mtu wa shughuli za mombasa na mkibisha nitawawekea clip yake hapa mumuone kiongoz wenu anavyopumuliwa.
Hehehe ebwanaee umetisha sana. Hizo tags ni za kibabe sanaChezeya mzee wa miga weweee
Cc Kijogoodi johnthebaptist thetallest mr chopa Kinuju Kiturilo Etwege Elitwege Kamanda Asiyechoka Idugunde the witch
Tundu anazidi kuwa mshindi kila nyanja.Aibu yenu!
🤣🤣🤣🤣Lissu ameyakomesha hayo machawa uchwara ya ccm saiv yananyambanyamba tu.