MIGA italifilisi taifa. Serikali imsikilize Nguli wa Sheria na Hekima Tundu Lissu

MIGA italifilisi taifa. Serikali imsikilize Nguli wa Sheria na Hekima Tundu Lissu

He is a victor' you can not conquer a Victor"

Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata chombo chochote cha habari lakini wananchi wanajua alipo na mikutano yake.

You can not make him fell, God is with Him. This Man is a living Miracle.
Wonderful quote
 
Babu ccm yote ni wajaa laana sie yeye tu. Chama chao na mfumo wote unaowaweka pale umejaa watu wenye laana waroho wa kulitafuna nchi wasio na chembe na nia ya dhati kuipeleka mbele nchi. Wote ni majizi kwa nyakati zao huku wakitupooza kwa kipande cha mkate kwa kujua fika akili za wadanganyika zilivyo.
Naweza kukubalian na wewe kuwa CCM wanawekwa madRakani na kundi la watu fulani. Wala sio kura za wananchi.
 
Back
Top Bottom