Wonderful quoteHe is a victor' you can not conquer a Victor"
Tundu ni Mshindi, ona anavyopendwa na kushangiliwa na watu wengi akiwa hana hata chombo chochote cha habari lakini wananchi wanajua alipo na mikutano yake.
You can not make him fell, God is with Him. This Man is a living Miracle.
Exceptional one[emoji817][emoji818]Wonderful quote
Naweza kukubalian na wewe kuwa CCM wanawekwa madRakani na kundi la watu fulani. Wala sio kura za wananchi.Babu ccm yote ni wajaa laana sie yeye tu. Chama chao na mfumo wote unaowaweka pale umejaa watu wenye laana waroho wa kulitafuna nchi wasio na chembe na nia ya dhati kuipeleka mbele nchi. Wote ni majizi kwa nyakati zao huku wakitupooza kwa kipande cha mkate kwa kujua fika akili za wadanganyika zilivyo.
Unazipasua hahahaaCc barafuyamoto jaribu kutumia nguvu uone 🤣🤣🤣
Atagawa kitaluDonor Country hataki kulipa madeni
Huyu mtu, michango yake hapa JF huwa inanishangaza sana! Wakati mwingine, huwa najiuliza kuwa, hivi ni kweli na yeye mwenyewe huwa anakiamini ambacho huwa anakiandika humu JF!!?Etwege mzee wa MIGA anatosha kabisa kujibu Uzi wako
Mkuu hawa MIGA watatufilisiExceptional one[emoji817][emoji818]
Kama kulikuwa na maslahi yao wasingekubaliLissu alionya kuhusu MIGA ila maCCM mkaamua kumjibu wa risasi 17 mwilini utadhani mlikua mnaua tembo.
Yuko kazini dewakaHuyu mtu, michango yake hapa JF huwa inanishangaza sana! Wakati mwingine, huwa najiuliza kuwa, hivi ni kweli na yeye mwenyewe huwa anakiamini ambacho huwa anakiandika humu JF!!?
Mi nahisi kwenye chama kuna watu wanatuhujumu.Mkuu hawa MIGA watatufilisi
[emoji1]
Ova
Ata-donate au awaachie tu hilo panga boyiDonor Country kakamatiwa ndege yake kisa anadaiwa