Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio vizuri mshinde mataji?KABWILI FC WAMEPELATA KOCHA WA HOVYO.
Ligi kuu South Africa.Amewahi kushinda Kombe lolote kweli huyu kocha?
mimi msamalia mwema nimewasanua msije mkasema sijawambia.Si ndio vizuri mwaka huu mchukue ubingwa kilaini
kwa hii style ya kuokota makocha lawama kwa tff na body ya ligi msimu ujao naziona.Unaelewa hata kusoma CV?
Sina muda wa kupoteza na watu wajinga, wahi Milembe ukacheck afya yako ya akili.kwa hii style ya kuokota makocha lawama kwa tff na body ya ligi msimu ujao naziona.
Nitumie pesa ya msosi basi. Ninanjaa tajiri.Kula nini????
Njaa inakusumbua
20/21 bingwa akwiwa na WydadAmewahi kushinda Kombe lolote kweli huyu kocha?
Hata Mimi nilikua natamani Sana Yule bwana apewe timu. Mi nilijikuta Tu naanza kuishabikia Asec Mimosas Kwa sababu ya soka Lao Tamu Sana unaweza kuwafunga lakini [emoji28] lazima cha Moto utakiona . Anyway tusubiri huenda na huyu anakitu Ila moyoni mwangu kuna kitu kinanambia HATOBOI msimuBinafsi kama yule wa ASEC Mimosa alituma CV, yule ndiye angekula shavu na sio huyu.
Hata Nabi alikuwa hajadumu zaidi ya mwaka mmoja, ameanzia YangaKlabu ya Yanga leo imemtangaza Miguel Angel Gamondi (59) Raia wa Argentina kuwa Kocha Mkuu wake mpya.
Miguel Angel Gamondi amewahi kufundisha timu mbalimbali ikiwemo Wydad Casablanca ya Morocco, Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini na CR Belouzdad ya Algeria.
Kocha Miguel Angel hadi anatangazwa Kama Kocha Mkuu wa Yanga alikuwa amefundisha jumla ya vilabu 13 katika maisha yake ya soka na Timu ya Taifa ya Burkinafaso
View attachment 2667388
View attachment 2667390
View attachment 2667389
****
Je ataweza kukabiliana na changamoto zinazoendana na malengo ya Yanga? Hajawahi kufundisha timu kubwa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Mkataba wake huwa unavunjwa kutokana na utendaji usioridhisha; inasikitsha lakini tumwombee afanikiwe kuweza kuipa yanga kombe la CAF!
wewe ni Dr.Matola phd holder msomi wa Yanga.Sina muda wa kupoteza na watu wajinga, wahi Milembe ukacheck afya yako ya akili.
Ni Bingwa wa PSL akiwa na Mamelodi Sundown [emoji471][emoji736]Amewahi kushinda Kombe lolote kweli huyu kocha?
Pumbav.."Wai" ndio nini??wewe ni Dr.Matola phd holder msomi wa Yanga.
sio Milembe ni "Mirembe".
sio " wahi" andika "wai"
pompoo,,poo,,popoo heee,,kidedea😂😅
"wai" ni jina la mbuzi wanaorandaranda ofisi za Yanga pale Jangwani wakisaka mlo.Pumbav.."Wai" ndio nini??