Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kolo hilo [emoji23]Amna= hamna
Apo= hapo
Kajifunze kiswahili huko MEMKWA kwanza ndiyo uje hapa. Hakuna neno "inasajiri" bali "inasajili"Baadae ukitoka hapa unaenda kulalamika Simba inasajiri wachezaji wabovu
Ungezingatia hayo kipindi upo shule ungekua mbali sanaKajifunze kiswahili huko MEMKWA kwanza ndiyo uje hapa. Hakuna neno "inasajiri" bali "inasajili"
"wai" ni native language yako, sio Kiswahili.wewe ni Dr.Matola phd holder msomi wa Yanga.
sio Milembe ni "Mirembe".
sio " wahi" andika "wai"
pompoo,,poo,,popoo heee,,kidedea[emoji23][emoji28]
why,,kivipi yani.yani,,yani,,yani siiii jaaaaa kutetereza bojo."wai" ni native language yako, sio Kiswahili.
kumbuka hata Nabi alipokuja yanga alikuwa na historia chafu ya kufundisha soka. Nabi alifikia mahala alikataliwa na simba na alifukuzwa na Al mereik. sasa ni kitu gani alichokifanya Yanga mpaka leo hii kawa LULU ya Africa? wewe ngoja halafu mwisho wa msimu upost hiyo comment yako.Binafsi kama yule wa ASEC Mimosa alituma CV, yule ndiye angekula shavu na sio huyu.
Mkuu mkuu wa zamani, hapo umeongea point nzuri sana , unastahili kuhudhulia mkutano wa bunge la EU belgium!kwa sasa ni kazi ya kujenga benchi lake la ufundi na usajili wa wachezaji then tumpe muda
Ali kamwe! Ali kamwe! unanisikia? hebu mjibu huyu ndugu . Luis Felipe Scolali anaongoza Brazil kwa kufukuzwa ukocha na vilabu mbali mbali lakini ndiye kocha aliyeiinuka Palmeira miaka sita ilopita na kuifanya itwae ubingwa wa Copa libertadore mara tatu mfululizo, upo Mr mwashilingi?Mbona kula sehemu anafukuzwa!!!!!!
I asume so!Huyu kabla ya kuanza kazi tayari amechukua kombe la ligi kuu TZ Bara, kwa kumtazama tu
Kwa CV hiyo labda ataipa yanga kombe la mbuzi.Klabu ya Yanga leo imemtangaza Miguel Angel Gamondi (59) Raia wa Argentina kuwa Kocha Mkuu wake mpya.
Miguel Angel Gamondi amewahi kufundisha timu mbalimbali ikiwemo Wydad Casablanca ya Morocco, Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini na CR Belouzdad ya Algeria.
Kocha Miguel Angel hadi anatangazwa Kama Kocha Mkuu wa Yanga alikuwa amefundisha jumla ya vilabu 13 katika maisha yake ya soka na Timu ya Taifa ya Burkinafaso
View attachment 2667388
View attachment 2667390
View attachment 2667389
****
Je ataweza kukabiliana na changamoto zinazoendana na malengo ya Yanga? Hajawahi kufundisha timu kubwa kwa zaidi ya mwaka mmoja. Mkataba wake huwa unavunjwa kutokana na utendaji usioridhisha; inasikitsha lakini tumwombee afanikiwe kuweza kuipa yanga kombe la CAF!
Msimu huu, yanga ni wakujipigia tu. Pona yenu: kwa kuwa kaiser chiefs wameachana na usajili wa nabi, nawashauri, yanga, fanyeni kila linalowezekana mumrudishe kudini.Ali kamwe! Ali kamwe! unanisikia? hebu mjibu huyu ndugu . Luis Felipe Scolali anaongoza Brazil kwa kufukuzwa ukocha na vilabu mbali mbali lakini ndiye kocha aliyeiinuka Palmeira miaka sita ilopita na kuifanya itwae ubingwa wa Copa libertadore mara tatu mfululizo, upo Mr mwashilingi?
Waarabu wa Dubai ndio walio pendekeza achukuliwe huyu.mhhh,dah!,amna kocha apo,hii nchi tunapigwa mpaka kwenye makocha!
JF imevamiwa na wajinga wa Facebook, anyway ni bundles zao na uhuru wa maoni. Ila mnakera kuandika kama bata anaakwenda hajaUngezingatia hayo kipindi upo shule ungekua mbali sana
Kwahiyo huyo kocha ni Felipe scolari mwenyeweAli kamwe! Ali kamwe! unanisikia? hebu mjibu huyu ndugu . Luis Felipe Scolali anaongoza Brazil kwa kufukuzwa ukocha na vilabu mbali mbali lakini ndiye kocha aliyeiinuka Palmeira miaka sita ilopita na kuifanya itwae ubingwa wa Copa libertadore mara tatu mfululizo, upo Mr mwashilingi?
Jikite kwenye mada mambo mengine ni kupoteza mdaJF imevamiwa na wajinga wa Facebook, anyway ni bundles zao na uhuru wa maoni. Ila mnakera kuandika kama bata anaakwenda haja